Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Sentensi 8 za Meneja wa Diamond baada ya kudaiwa alimzimia Mic Alikiba
Share
Notification Show More
Latest News
Morgan Heritage kuachia album wasanii 16 washirikishwa
March 23, 2023
Baada ya uchaguzi kufutwa Arusha, makada wawili wajitokeza kuchukua fomu yupo mbunge na kada gonga
March 23, 2023
Serikali yashauriwa kuongeza Bajeti ya Usimamizi wa Usalama na Afya nchini
March 23, 2023
Mohammed Hussein afunguka haya kuhusu kutoitwa kwenye timu ya Taifa, ‘Taifa Stairs’
March 23, 2023
DC Jokate Mwegelo awataka hili Wafanyabiashara Wilayani humo ‘Bei za Vyakula’
March 23, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Habari za Mastaa > Sentensi 8 za Meneja wa Diamond baada ya kudaiwa alimzimia Mic Alikiba
Habari za Mastaa

Sentensi 8 za Meneja wa Diamond baada ya kudaiwa alimzimia Mic Alikiba

October 12, 2016
Share
1 Min Read
SHARE

October 11, 2016 Amplifaya ya Clouds FM na mtu wako wa nguvu Millard Ayo imempata Sallam Jorge a.k.a Mendez meneja wa msanii Diamond Platinumz. Mendez amezungumzia issue ya yeye kuhusishwa kuzima Mic wakati Alikiba akianza kuperform weekend iliyopita huko Mombasa Kenya kwenye tamasha lililowakutanisha mastaa kama Chris Brown, Vanessa Mdee, Wizkid na Alikiba mwenyewe.

Tamasha hilo limezua mzozo kwenye mitandao baada ya video iliyomuonesha Alikiba akiongea na mtangazaji Mzazi Willy M. Tuva wa Radio Citizen ya Kenya na kisha kumtupia lawama Meneja wa Diamond kwamba ndiye aliyesababisha kuzimwa kwa Mic yake.

Amplifaya imepiga story na Jorge Mendez na amezungumza maneno haya

1. SALLAM: 'Alikiba kama amekosea yeye anatakiwa kuomba radhi mashabiki wake na Promota, pia aombe Mungu next time kila kitu kiende vizuri'

— millardayo (@millardayo) October 11, 2016

2. SALLAM: 'Wakati Alikiba anatumbuiza sikuwepo kabisa ktk stage hata karibu sikuwepo, nilikuepo ktk stage wakati CB na Wizkid wakitumbuiza'

— millardayo (@millardayo) October 11, 2016

3. SALLAM: 'Alikiba kauliza kwanini nilikuwepo show ya Mombasa, kitu anatakiwa kujua mimi sio meneja wa Diamond pekee, nina mengine nafanya'

— millardayo (@millardayo) October 11, 2016

4. SALLAM: 'Alikiba kama ana chuki na Diamond aangalie jinsi gani anaweza kuzimaliza kuliko kila kitu kusema Meneja wa Diamond au Diamond'

— millardayo (@millardayo) October 11, 2016

5. SALLAM: 'Sikuwepo peke yangu kwenye show ya Mombasa, Sauti Sol na meneja wao,Bebe Cool pia walikuwepo lakini hawakualikwa kutumbuiza'

— millardayo (@millardayo) October 11, 2016

6. SALLAM: 'Alikiba alichelewa kupanda kwenye stage kwa lisaa lizima tofauti na alivyopangiwa, timu ya CB ndio iliyomtoa kwenye stage'

— millardayo (@millardayo) October 11, 2016

7. SALLAM: 'Nataka kuweka wazi Alikiba hata akiniona back stage asiwe na wasiwasi sababu tutakutana MTVmama Oct 22 South Africa, asiogope'

— millardayo (@millardayo) October 11, 2016

8. SALLAM: 'Alichosema Alikiba sijataka kubishana nae nimechukulia changamoto, nimemsamehe kwa roho safi na sina kinyongo nae' – @Sallam_SK

— millardayo (@millardayo) October 11, 2016

Kupata stori kamili Bonyeza Play hapa chini…

ULIMISS KUONA CHUMBA ALICHOLALA CHRIS BROWN WAKATI ALIPOFIKA KENYA KWENYE TAMASHA LA MOMBASA ROCKS? NIMEKUWEKEA HAPA

You Might Also Like

EXCLUSIVE: Alikiba akanusha kuepo kwenye Album ya Davido, aingia kwenye kilimo

Sina Tatizo na yeye, mteule wa Rais hanuniwi” Steve Nyerere Kafunguka (+video)

Rihanna & Asap rocky waipanga ndoa yao ya siri , barbados hivi karibuni

MTOTO WA BECKHAM APOST SAA YA MIL 97, ANYWA POMBE NA BABA YAKE

MADONNA AWAJIBU MASHABIKI MUONEKANO WAKE MPYA BAADA YA UPASUAJI!

TAGGED: alikiba, Babu Tale, Chris Brown Kenya, SALLAM
Admin October 12, 2016
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article VIDEO: Dogo wa miaka 10 kasajiliwa na Juventus anatabiriwa kuwa kama Messi
Next Article Burundi imeamua kusitisha ushirikiano wake na UN kuhusu Haki za Binadamu
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Morgan Heritage kuachia album wasanii 16 washirikishwa
Entertainment March 23, 2023
Baada ya uchaguzi kufutwa Arusha, makada wawili wajitokeza kuchukua fomu yupo mbunge na kada gonga
Top Stories March 23, 2023
Serikali yashauriwa kuongeza Bajeti ya Usimamizi wa Usalama na Afya nchini
Top Stories March 23, 2023
Mohammed Hussein afunguka haya kuhusu kutoitwa kwenye timu ya Taifa, ‘Taifa Stairs’
Sports March 23, 2023

You Might also Like

Sports

Simba SC waingia Mkataba na MobiAd

March 23, 2023
Sports

Simba yaandika historia Ligi ya Mabingwa Afrika

March 22, 2023
Sports

Sheria Ngowi kutengeneza jezi za Zanzibar Heroes kwa miaka mitano

March 18, 2023
SportsTop Stories

Yanga: Fedha za Rais Samia zinaleta ari kubwa

March 17, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?