Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Kingine nilichokuletea leo ni hii list ya Marais 8 wa Afrika wanaoongoza kwa utajiri
Share
Notification Show More
Latest News
Mwili waopolewa mto Msimbazi DSM, Jeshi la Zimamoto (VideO+)
March 22, 2023
Rais Samia atoa Bilioni 196.6 Mlele Kwa miaka miwili
March 22, 2023
Video: Rais Samia amuibua Ally Hapi, Afunguka haya
March 22, 2023
Mfungo wa Ramadhan Kaya 1000 zapatiwa vyakula “Tunarudisha kwa Jamii”
March 22, 2023
Jamaa aangusha gari Mtaroni, Dereva haonekani, mashuhuda wasimulia, ‘Alikuwa anaongea na simu’
March 22, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Stori Kubwa > Kingine nilichokuletea leo ni hii list ya Marais 8 wa Afrika wanaoongoza kwa utajiri
Stori KubwaTop Stories

Kingine nilichokuletea leo ni hii list ya Marais 8 wa Afrika wanaoongoza kwa utajiri

April 23, 2015
Share
3 Min Read
SHARE

plane-red-carpetKuna tafiti mbalimbali zilizowahi kufanywa, lakini leo nimekuja na hii list ya Marais nane wanaoongoza kwa kuwa na utajiri mkubwa zaidi ya wenzao Afrika.

Iko ishu ya Marais kung’ang’ania madaraka kwenye nchi za Afrika, kingine ni hii ishu ya kujilimbikizia mali, japo wapo wanaokuwa nazo kabla ya kushika madaraka lakini wengine wanajichumia hapohapo wakiwa madarakani.

dos
Jose Eduardo Dos Santos ndiye Rais anayeongoza kwa utajiri Afrika. Ni Rais wa Angola, aliingia madarakani mwaka 1979,  utajiri wake ni dola bilioni 20
MOROCCO-SARKOZY-MOHAMED-VI
Mohammed VI– Ni Mfalme wa Morocco ambaye amekaa madarakani kwa miaka 15, ana utajiri wa dola bilioni 2.
ekwa
Teodoro Obiang Nguema Mbasogo: Huyu ni Rais wa Equatorial Guinea, aliingia madarakani 1979.. ana una utajiri wa dola milioni 600. Nchi yake ni moja ya nchi ambazo ni maskini sana lakini huo ndio utajiri wake mwenyewe.
kenya
Uhuru Kenyatta ni Rais wa Kenya. Kaingia madarakani mwaka 2011, utajiri wake ni dola milioni 500. Mbali ya kuwa Rais ana miradi mingi pamoja na hisa kwenye Mabenki makubwa na mahoteli ya kifahari.
biya
Paul Biya ni Rais wa Cameroon tangu mwaka 1982, ana utajiri wa dola milioni 200, unaambiwa ndiye rais anayetumia kiasi kikubwa cha pesa katika ziara zake kuliko marais wote duniani. Ziara yake kwa siku moja ni kama Euro 30,000 hivi.
king
King Mswat iii Ni mfalwe wa Swazland akiwa na utajiri wa dola milioni 100, anashika nafasi ya 15 katika familia za kifalme tajiri duniani, Unaambiwa wake zake 13 hutumia zaidi ya dola milioni sita kufanya manunuzi yao pekee, pia Serikali yake hutenga bajeti ya dola milioni 61 kila mwaka kwa ajili ya matumizi ya nyumbani
dd
Idriss Derby Ni Raisi wa Chad tangu mwaka 1990 na ana utajiri wa zaidi ya dola milioni 50
mugabe
Robert Mugabe wa Zimbabwe, ana zaidi ya miaka 26 akitawala nchi hiyo. Utajiri wake ni dola milioni 10

Unahitaji chochote ninachokipata kisikupite? jiunge na mimi kwenyeTwitter,Facebook na Instagram kwa kubonyeza hapa >>>  Twitter InstaFB  na nitakua nikikutumia kila ninachokipata pia usisahau kusubscribe YouTube kwa kubonyeza hapa>>>>Videos ili kila video ya AyoTV ikufikie.

 

You Might Also Like

Mwili waopolewa mto Msimbazi DSM, Jeshi la Zimamoto (VideO+)

Rais Samia atoa Bilioni 196.6 Mlele Kwa miaka miwili

Video: Rais Samia amuibua Ally Hapi, Afunguka haya

Mfungo wa Ramadhan Kaya 1000 zapatiwa vyakula “Tunarudisha kwa Jamii”

Jamaa aangusha gari Mtaroni, Dereva haonekani, mashuhuda wasimulia, ‘Alikuwa anaongea na simu’

Millard Ayo April 23, 2015
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Hongera kwa ushindi.. Lakini camera za MAPAPARAZZI hazikuiachia hii suruali ya Pep Guardiola !!
Next Article Ni kama mashabiki wa Real Madrid walijua matokeo ya Klabu yao jana!! (Video & Pichaz)!!
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Mwili waopolewa mto Msimbazi DSM, Jeshi la Zimamoto (VideO+)
Top Stories March 22, 2023
Rais Samia atoa Bilioni 196.6 Mlele Kwa miaka miwili
Top Stories March 22, 2023
Video: Rais Samia amuibua Ally Hapi, Afunguka haya
Top Stories March 22, 2023
Mfungo wa Ramadhan Kaya 1000 zapatiwa vyakula “Tunarudisha kwa Jamii”
Top Stories March 22, 2023

You Might also Like

Top Stories

Mwili waopolewa mto Msimbazi DSM, Jeshi la Zimamoto (VideO+)

March 22, 2023
Top Stories

Rais Samia atoa Bilioni 196.6 Mlele Kwa miaka miwili

March 22, 2023
Top Stories

Video: Rais Samia amuibua Ally Hapi, Afunguka haya

March 22, 2023
Top Stories

Jamaa aangusha gari Mtaroni, Dereva haonekani, mashuhuda wasimulia, ‘Alikuwa anaongea na simu’

March 22, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?