Leo ndege ya Qatar imetua katika uwanja wa kimataifa wa KIA ikiwa na watalii kutoka nchi mbalimbali ambao wamefika nchini Tanzania kwa ajili yakutembelea hifadhi za taifa ambapo ni miezi minne imepita baada yakuwepo kwa changamoto ya ugonjwa wa Corona nakupelekea nchi nyingi kusitisha safari zake.>>>TAZAMA HAPA CHINI WALIVYOTUA KWENYE UWANJA WA KIA.
Tazama ndege kutoka nje ilivyotua KIA leo ikiwa na watalii “ni mara ya kwanza”
Leave a comment
Leave a comment