Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Wataalamu: “Kulaza watoto wachanga chali hupunguza vifo vya ghafla”
Share
Notification Show More
Latest News
Breaking: William Ruto atangazwa kuwa Rais Kenya, Shangwe na furaha zaibuka mitaani Nairobi
August 15, 2022
Matokeo ya Urais Kenya kutangazwa leo, Mgombea Ruto awasili Ukumbini Boma ‘Kusubiria matokeo hayo’
August 15, 2022
Live: Matokeo ya Urais nchini Kenya yanatangazwa muda huu
August 15, 2022
Manara na Wana-Yanga wakomaa kuwa kejeli Simba ‘Mlete Mzunguu’
August 15, 2022
Club ya Wolves ya England kuleta makocha wawili Tanzania
August 15, 2022
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Mix > Wataalamu: “Kulaza watoto wachanga chali hupunguza vifo vya ghafla”
MixTop Stories

Wataalamu: “Kulaza watoto wachanga chali hupunguza vifo vya ghafla”

October 14, 2017
Share
1 Min Read
SHARE

Wakinamama wameshauriwa kuzingatia kuwalaza watoto wao kwa mgongo yani chali na sio kifudifudi kama ilivyozoeleka kwa wanawake wengi ili kupunguza hatari ya matatizo ya vifo vya ghafla vya watoto yaani Sudden Infant Death Syndrome ‘SIDS’.

Kufuatia taarifa iliyo ripotiwa na CNN kuhusu suala hili siku za karibuni, inashauriwa kuwa watoto walio na umri wa chini ya mwaka mmoja ni vizuri wakalazwa chali kwani wako kwenye hatari ya kukosa hewa vizuri au kupaliwa pindi wanapokua wamelazwa kifudifudi na wakapoteza maisha.

Imeripotiwa kuwa kwa mwaka 2015 zaidi ya watoto 1600 nchini Marekani walikufa vifo vya ghafla kwasababu kulazwa kwa namna hiyo.

Uliiona hii? SERIKALI: ‘Hakuna mahali JPM amekataa kutekeleza ongezeko la mishahara’

You Might Also Like

Breaking: William Ruto atangazwa kuwa Rais Kenya, Shangwe na furaha zaibuka mitaani Nairobi

Matokeo ya Urais Kenya kutangazwa leo, Mgombea Ruto awasili Ukumbini Boma ‘Kusubiria matokeo hayo’

Live: Matokeo ya Urais nchini Kenya yanatangazwa muda huu

Azikwa akiwa hai huko Madaba, DC afika eneo la tukio, ‘Jambo hili ni la kinyama’

Rais Samia atoa Bilioni 15 jimboni kwa Shigongo

TAGGED: Facebook Twitter na Insta, habari daily, habari za afya, Marekani, TZA HABARI, utafiti
Admin October 14, 2017
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Faida 6 za Konokono akiliwa ambazo huenda ulikuwa huzifahamu
Next Article Utafiti: Vitu 3 vitakavyoifanya Afrika iilishe dunia nzima ifikapo 2050
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Breaking: William Ruto atangazwa kuwa Rais Kenya, Shangwe na furaha zaibuka mitaani Nairobi
Top Stories August 15, 2022
Matokeo ya Urais Kenya kutangazwa leo, Mgombea Ruto awasili Ukumbini Boma ‘Kusubiria matokeo hayo’
Top Stories August 15, 2022
Live: Matokeo ya Urais nchini Kenya yanatangazwa muda huu
Top Stories August 15, 2022
Manara na Wana-Yanga wakomaa kuwa kejeli Simba ‘Mlete Mzunguu’
Sports August 15, 2022

You Might also Like

Sports

Club ya Wolves ya England kuleta makocha wawili Tanzania

August 15, 2022
Sports

Inter Milan wawapa Yanga cha kusema, Shaffi Dauda atia neno, Manara apigilia msumari

August 15, 2022
Sports

Barbara awatuliza mashabiki wa Simba, wataka Mzungu aachwe wana mashabiki na mbinu za Kocha

August 15, 2022
Sports

Aziz Ki Mfalme mpya town, mchezo dhidi ya Simba SC ya dhihirissha ubora wake, ‘Jemedari amwagia sifa’

August 14, 2022
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?