Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: HEKAHEKA: Wanafamilia wapigana kwenye ‘kitchen party’…kisa?
Share
Notification Show More
Latest News
Tazama Shaka alivyokula kiapo cha kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kilosa “Sitotoa siri”
January 27, 2023
Mapya ndoa ya Dr Mwaka haijavunjwa, tamko kali latolewa na baraza la Ulamaa
January 27, 2023
Mkali Brand TZ kutokea Bongo Flevani kaachia hii EP yake mpya, isikilize hapa
January 27, 2023
Mkali Lord Eyez ametuletea hii collabo yake akiwa na Adiana Ross
January 27, 2023
Picha: Mwili wa Mtanzania aliefia kwenye vitani urusi, waagwa kwa picha nyumbani kwao
January 27, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > HekaHeka > HEKAHEKA: Wanafamilia wapigana kwenye ‘kitchen party’…kisa?
HekaHeka

HEKAHEKA: Wanafamilia wapigana kwenye ‘kitchen party’…kisa?

September 21, 2017
Share
1 Min Read
SHARE

Leo sept 21, 2017 kupitia Hekaheka ya Leo Tena ya Clouds FM mtangazaji Geah Habibu ameifuatilia hii stori ya wanandungu waliochangia baba kugombania mali alizoacha baba yao baada ya kufariki 2007.

Inadaiwa kuwa dada yao mkubwa anagombania mali na kutaka kuuza nyumba aliyoiacha marehemu baba yao kwa shillingi milioni 30 na ikishindikana nyumba hiyo ipigwe mnada ili wagawane hela zitakazopatikana.

Wadogo zake wanaonyeshwa kushangazwa kwa tukio alilolifanya dada yao baada ya kuja na mabaunsa na mapolisi katika nyumba hiyo inayosemekana aliiacha baba yao ikiwa ni siku ya “kitchen party” ya mdogo wao na kutaka watoke nje ili nyumba iiuzwe.

Bonyeza play hapa chini ili kuweza kupata full story

Ulipitwa na hii? HEKAHEKA: Kamshika Komba, akafunikwa kwenye nyungu na Mganga

You Might Also Like

HEKAHEKA: Mwenyekiti atuhumiwa kuua kwa kutumia nyundo DSM

HEKAHEKA: Chatu asababisha Wanaume kulala nje ya ndoa zao DSM

HEKAHEKA: Mwanaume aelezea jinsi Mkewe alivyopotea na kukuta mwili wake umeliwa

HEKAHEKA: Watu wamechanganya Makaburi, Ugomvi umezuka

HEKAHEKA: Kijana mkorofi aliyemchoma kisu mwenzie Jichoni

TAGGED: Hekaheka
Millard Ayo September 21, 2017
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article UPDATES! Zitto katolewa Polisi, amepelekwa Ofisi za Bunge kuhojiwa
Next Article DIAMOND: List ya Mastaa wa Marekani wanaomkubali yaongezeka
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Tazama Shaka alivyokula kiapo cha kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kilosa “Sitotoa siri”
Top Stories January 27, 2023
Mapya ndoa ya Dr Mwaka haijavunjwa, tamko kali latolewa na baraza la Ulamaa
Top Stories January 27, 2023
Mkali Brand TZ kutokea Bongo Flevani kaachia hii EP yake mpya, isikilize hapa
Entertainment January 27, 2023
Mkali Lord Eyez ametuletea hii collabo yake akiwa na Adiana Ross
Entertainment January 27, 2023

You Might also Like

Entertainment

Mkali Brand TZ kutokea Bongo Flevani kaachia hii EP yake mpya, isikilize hapa

January 27, 2023
Entertainment

Warembo wanaounda kundi la Tango Supreme kutumbuiza Dar, 27th Jan Elements Masaki

January 27, 2023
Entertainment

Mabibi na Mabwana Nuh Mziwanda ametuletea hii single mpya ‘Nikizipata’

January 26, 2023
Entertainment

PROFILE: Mfahamu Vido Vidox, ripota wa Ayo TV kwa stori za mastaa!!

January 26, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?