Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Jackline Wolper kahojiwa na Zamaradi na kuyaongea ya mapenzi yake na Harmonize
Share
Notification Show More
Latest News
Uganda yapitisha sheria mpya dhidi ya wizi wa viungo vya binadamu
May 30, 2023
Mpishi wa timu ya Arsenal Bernice Kariuki astaafu
May 30, 2023
‘June 2024 kila kijiji kitakuwa na Umeme’- Waziri Makamba
May 30, 2023
Sentensi za Waziri wa Nishati January Makamba kwenye mahojiano na Clouds 360 Mei 30, 2023
May 30, 2023
Beyonce atoa pongezi za muziki kwa idol wake marehemu Tina Turner.
May 30, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > AyoTV > Jackline Wolper kahojiwa na Zamaradi na kuyaongea ya mapenzi yake na Harmonize
AyoTV

Jackline Wolper kahojiwa na Zamaradi na kuyaongea ya mapenzi yake na Harmonize

May 26, 2016
Share
2 Min Read
SHARE

Ni kwenye Exclusive Interview ya TAKE ONE ya CloudsTV ambayo inasimamiwa na Zamaradi Mketema na ishu kubwa aliyoiongelea ni uhusiano wake wa kimapenzi uliopita na wa sasa ambao yuko na mwimbaji wa bongofleva Harmonize ambaye yuko kwenye lebo ya Diamond WCB.

Kwenye Interview hii ndefu moja ya maneno aliyoyasema Wolper ni haya >>> ‘Rajabu (Harmonize) sijamjua hivi karibuni nimemjua siku nyingi sana nilikua namchukulia kama Mwanamuziki tu, kuja kugundua kwamba Rajabu alikua ananikubali siku nyingi tukawa marafiki, alikuja kunitamkia kwamba ananipenda nikiwa kwenye wakati mgumu sana na mtu niliyekua nae‘

‘Tuna mwezi mmoja na wiki mbili sasa hivi toka tumeanza kuwa kwenye uhusiano wa kimapenzi, sitaki kuigiza kwenye swala la mapenzi…. nilikua na mtu ambaye nilikua naamini atakua mume wangu na pete na kidole nilimpa lakini haikutokea, swala la familia na Rajabu linakuja‘

‘Mimi kuwa na Harmonize sio maigizo ni kitu kiko serious, najua kuna watu wengine wanasema Harmonize huyo Chokoraa sijui ameimba nyimbo mbili, sasa kama nimeweza kuwa na mtu wa aina yangu alafu amenitenda alafu unakuja kuniambia mtu ana nyimbo mbili eti nisimpende, mimi sihitaji pesa… naweza kuwa hata na mwendesha bodaboda nikambadilisha‘ – Wolper

Ukitaka kuipata full Interview ya Wolper na Zamaradi Mketema bonyeza play hapa chini..

ULIKOSA KUONA ILIVYOKUWA KWA HARMONIZE NA WOLPER KWENYE BIRTHDAY PARTY? TAZAMA HII VIDEO HAPA CHINI..

Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line ya tiGO andika ‘AYO‘ tuma kwenda 15510, msg utayotumiwa jibu OK ili uanze kupokea matukio yote kwa sms, pia ungana na Millard Ayo kwenye Twitter, FB, Instagram na YouTUBE wa kubonyeza hapa >>> INSTAGRAM TWITTER FB YOUTUBE

You Might Also Like

Meneja Chambuso afunguka kubwagana na Aslay

EXCLUSIVE: Msanii Bando kafunguka, hana Dini, alilelewa miezi 6, ampoteza Baba

EXCLUSIVE: Alikiba akanusha kuepo kwenye Album ya Davido, aingia kwenye kilimo

EXCLUSIVE: Maisha ya Haji Manara nje ya mpira, Ndoa zake 3, kuzaliwa kwake Ulaya, mshahara mpya Yanga na mengine

Wolper kujifungua mtoto wa kiume Mchumba wake kathibitisha

TAGGED: bongo movie, bongoflevanews
Millard Ayo May 26, 2016
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article VIDEO: Kutana na Trafiki mwenye mbwembwe Dar, foleni haigandi akiwepo
Next Article VIDEO: Mbunge wa Karagwe bungeni na sababu za Wanaume kutooa Wanawake wazuri jimboni
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Uganda yapitisha sheria mpya dhidi ya wizi wa viungo vya binadamu
Top Stories May 30, 2023
Mpishi wa timu ya Arsenal Bernice Kariuki astaafu
Top Stories May 30, 2023
‘June 2024 kila kijiji kitakuwa na Umeme’- Waziri Makamba
Top Stories May 30, 2023
Sentensi za Waziri wa Nishati January Makamba kwenye mahojiano na Clouds 360 Mei 30, 2023
Top Stories May 30, 2023

You Might also Like

Top Stories

Uganda yapitisha sheria mpya dhidi ya wizi wa viungo vya binadamu

May 30, 2023
Top Stories

Mpishi wa timu ya Arsenal Bernice Kariuki astaafu

May 30, 2023
Top Stories

‘June 2024 kila kijiji kitakuwa na Umeme’- Waziri Makamba

May 30, 2023
Top Stories

Marekani kuzingatia vikwazo vya visa kuhusu sheria ya Uganda dhidi ya mashoga

May 30, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?