Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Bifu la Chris Brown na Drake kwisha habari yake
Share
Notification Show More
Latest News
Breaking: William Ruto atangazwa kuwa Rais Kenya, Shangwe na furaha zaibuka mitaani Nairobi
August 15, 2022
Matokeo ya Urais Kenya kutangazwa leo, Mgombea Ruto awasili Ukumbini Boma ‘Kusubiria matokeo hayo’
August 15, 2022
Live: Matokeo ya Urais nchini Kenya yanatangazwa muda huu
August 15, 2022
Manara na Wana-Yanga wakomaa kuwa kejeli Simba ‘Mlete Mzunguu’
August 15, 2022
Club ya Wolves ya England kuleta makocha wawili Tanzania
August 15, 2022
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Habari za Mastaa > Bifu la Chris Brown na Drake kwisha habari yake
Habari za Mastaa

Bifu la Chris Brown na Drake kwisha habari yake

October 13, 2018
Share
1 Min Read
SHARE

Inaelezwa kuwa bifu lilokuwepo kati ya Rapper Drake na Chris Brown limemalizaka usiku wa October 12,2018 katika tour ya Aubrey & the Three Amigos  baada ya Drake kumpandisha Chris Brown kwenye stage moja.

Ngoma ya ‘Party’ ndio aliyoingia nayo Chris Brown alipopandishwa jukwaani na baadae kumalizia na ngoma ya ‘Freaky Friday’ huku ikilelezwa kuwa Drake ana mpango wa kufanya kazi kibao na Breezy na kuachiwa sokoni hivi karibuni.

Inasemakana kuwa wawili hao wamekuwa kwenye bifu kwa muda mrefu kutokana na wengi kumuhusisha  mwanadada Rihanna kama chanzo ikiwa  aliwahi kuwa mapenzini na Chris Brown na baadae kudaiwa kuwa kwenye mapenzi mapya na Drake .

Kupitia ukurasa wa instagram wa Drake amesema kuwa mara ya mwisho aklikuwa kwenye stage moja na Chris Brown ni 2009 katika chuo cha Virginia Commonwealth .

https://youtu.be/VufGOpYqXKk

Kutoka Morogoro Gairo anapozikwa Pancho Latino

You Might Also Like

Tanzania ya 3 kutumia Audiomack, wasanii changamkieni

Mkali Burna boy ametuletea hii video mpya akiwa amemshirikisha Ed Sheeran

Tazama alichokifanya Diamond mbele ya Wizkid backstage, ampa Shavu Focalistic (video+)

Picha: Zuchu, Mwana FA na wengineo walivyotoa burudani hafla ya kuwaaga Wabunge

Str8upvibes kumleta ‘Kizz Daniel’ Tanzania?

TAGGED: bongoflevanews
Admin October 13, 2018
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Dk Bashiru afunguka matatizo makubwa ndani ya CCM ‘Ninakozunguka hatuelewani’
Next Article BREAKING: Waziri Lugola atoa kauli tukio la kutekwa Mo Dewji
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Breaking: William Ruto atangazwa kuwa Rais Kenya, Shangwe na furaha zaibuka mitaani Nairobi
Top Stories August 15, 2022
Matokeo ya Urais Kenya kutangazwa leo, Mgombea Ruto awasili Ukumbini Boma ‘Kusubiria matokeo hayo’
Top Stories August 15, 2022
Live: Matokeo ya Urais nchini Kenya yanatangazwa muda huu
Top Stories August 15, 2022
Manara na Wana-Yanga wakomaa kuwa kejeli Simba ‘Mlete Mzunguu’
Sports August 15, 2022

You Might also Like

Sports

Club ya Wolves ya England kuleta makocha wawili Tanzania

August 15, 2022
Sports

Inter Milan wawapa Yanga cha kusema, Shaffi Dauda atia neno, Manara apigilia msumari

August 15, 2022
Sports

Barbara awatuliza mashabiki wa Simba, wataka Mzungu aachwe wana mashabiki na mbinu za Kocha

August 15, 2022
Sports

Aziz Ki Mfalme mpya town, mchezo dhidi ya Simba SC ya dhihirissha ubora wake, ‘Jemedari amwagia sifa’

August 14, 2022
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?