Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Baada ya P Funk kukuta msg za mapenzi za Dogo Janja kwa Paula
Share
Notification Show More
Latest News
Breaking: William Ruto atangazwa kuwa Rais Kenya, Shangwe na furaha zaibuka mitaani Nairobi
August 15, 2022
Matokeo ya Urais Kenya kutangazwa leo, Mgombea Ruto awasili Ukumbini Boma ‘Kusubiria matokeo hayo’
August 15, 2022
Live: Matokeo ya Urais nchini Kenya yanatangazwa muda huu
August 15, 2022
Manara na Wana-Yanga wakomaa kuwa kejeli Simba ‘Mlete Mzunguu’
August 15, 2022
Club ya Wolves ya England kuleta makocha wawili Tanzania
August 15, 2022
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Habari za Mastaa > Baada ya P Funk kukuta msg za mapenzi za Dogo Janja kwa Paula
Habari za Mastaa

Baada ya P Funk kukuta msg za mapenzi za Dogo Janja kwa Paula

August 18, 2017
Share
1 Min Read
SHARE

On Air With Millard Ayo ilikuwa na Mwimbaji staa wa Bongofleva Dogo Janja ambaye amefunguka kuhusu maisha yake, muziki wake na namna walivyotofautiana na Producer P Funk Majani mpaka akaacha viatu studio za Bongo Records.

Mbali na hayo Dogo Janja kazungumzia pia kuhusu kudaiwa kuwa mapenzini na mwigizaji Irene Uwoya.

>>>”Mtu kama Irene Uwoya ni namu-admire, nampenda lakini sipo naye kama vile watu wanavyofikiria. Love yangu kwa Irene Uwoya haifichiki ila suala la kuwa kwenye mahusiano naye mimi sina. Nimeshawahi kuwa na mtu aliyenizidi umri na nachezaga na wa mwaka 1987 au kuivuta 89.

“Anakuwa amenizidi miaka kama sita au mitano na nakuwa sawa kabisa japo huwezi nikuta nikitembea na mwanamke siwezi kabisa.” – Dogo Janja

“Nikiachana na mtu imetoka siwezi kumrudia tena” – Vanessa Mdee 

You Might Also Like

Tanzania ya 3 kutumia Audiomack, wasanii changamkieni

Mkali Burna boy ametuletea hii video mpya akiwa amemshirikisha Ed Sheeran

Tazama alichokifanya Diamond mbele ya Wizkid backstage, ampa Shavu Focalistic (video+)

Picha: Zuchu, Mwana FA na wengineo walivyotoa burudani hafla ya kuwaaga Wabunge

Str8upvibes kumleta ‘Kizz Daniel’ Tanzania?

TAGGED: bongoflevanews, Stori Pekee
Victor Kileo TZA August 18, 2017
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Mambo 8 makubwa Tundu Lissu amezungumza mbele ya Wanahabari
Next Article VIDEO: Maamuzi ya Waziri Nchemba baada ya kutembelea hii shule
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Breaking: William Ruto atangazwa kuwa Rais Kenya, Shangwe na furaha zaibuka mitaani Nairobi
Top Stories August 15, 2022
Matokeo ya Urais Kenya kutangazwa leo, Mgombea Ruto awasili Ukumbini Boma ‘Kusubiria matokeo hayo’
Top Stories August 15, 2022
Live: Matokeo ya Urais nchini Kenya yanatangazwa muda huu
Top Stories August 15, 2022
Manara na Wana-Yanga wakomaa kuwa kejeli Simba ‘Mlete Mzunguu’
Sports August 15, 2022

You Might also Like

Sports

Club ya Wolves ya England kuleta makocha wawili Tanzania

August 15, 2022
Sports

Inter Milan wawapa Yanga cha kusema, Shaffi Dauda atia neno, Manara apigilia msumari

August 15, 2022
Sports

Barbara awatuliza mashabiki wa Simba, wataka Mzungu aachwe wana mashabiki na mbinu za Kocha

August 15, 2022
Sports

Aziz Ki Mfalme mpya town, mchezo dhidi ya Simba SC ya dhihirissha ubora wake, ‘Jemedari amwagia sifa’

August 14, 2022
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?