VIDEO: Haikuonyeshwa lakini nimeyanasa magoli ya Yanga vs GD Esperanca May 7 2016, Full Time 2-0
May 7 2016 klabu ya Dar es Salaam Young Africans ilicheza mchezo wake wa kwanza wa hatua ya 16 bora ya Kombe la shirikisho barani Afrika dhidi ya klabu ya…
VIDEO: ‘Serikali isiruhusu wafanyabiashara waagize sukari nje’ Mbunge LijuaLikali
Baada ya Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji Charles Mwijage kuwasilisha Bungeni Dodoma Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Fedha kwa Mwaka 2016/2017, Wabunge walipata nafasi ya kuchangia hotuba hiyo. Hapa…
PICHAZ 14: Leicester City walivyopokea Kombe lao la kwanza la EPL leo May 7 2016
Mabingwa wapya wa Ligi Kuu Uingereza klabu ya Leicester City, leo May 7 2016 baada ya mchezo dhidi ya Everton katika uwanja wao wa King Power walipokea Kombe lao la…
VIDEO: Sentensi za Profesa Tibaijuka alivyosimama bungeni kuchangia bajeti ya Viwanda na Biashara
Mei 6 2016 ilikuwa ni zamu ya Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji Charles Mwijage kuwasilisha Bungeni Dodoma Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Fedha kwa Mwaka 2016/2017. Baada ya uwasilishaji…
VIDEO: Isikupite hii Bajeti ya Wizara ya Viwanda zaidi ya bilioni 81 ilivyowasilishwa bungeni
Mei 6 2016 Waziri wa Viwanda, biashara na Uwekezaji Charles Mwijage aliwasilisha Bungeni Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Fedha kwa Mwaka 2016/2017. Katika hotuba yake, Waziri Mwijage aligusia sekta…
VIDEO: Top 10 ya sherehe za gharama zaidi zilizowahi kufanyika, moja ni harusi ya Staa wa Man United
Nimekutana nazo hizi sherehe 10 ambazo zimewahi kuwa na bajeti kubwa zaidi moja katika hizo ipo harusi ya staa wa Machester United Wyne Rooney ambayo imeshika nafasi ya 7 ikiwa na…
PICHA 3: Hiki ndio kipigo cha Yanga kwa GD Esperanca ya Angola leo May 7 2016
May 7 2016 klabu ya Dar es Salaam Young Africans ambao mashabiki wao tayari mtaani wanajitamba na kujiita Mabingwa watarajiwa wa Ligi Kuu, walishuka uwanja wa Taifa kuwakabili wapinazani wao…
Matatu ya kufahamu baada ya sukari tani 4,579.2 iliyofichwa kukamatwa Dar es salaam
May 06 2016 Rais Magufuli alizungumza na wananchi kwa nyakati tofauti katika mikoa ya Singida na Manyara wakati waliposimamisha msafara wake uliokuwa ukitoka Dodoma kwenda Arusha. Rais Magufuli alitoa maagizo kwa…
Habari 10 kubwa kutoka kwenye magazeti ya Tanzania May 07 2016
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter >>>@millardayo. Tayari nimezikusanya na waweza kuzipitia hapa…
VIDEO: TOP 20 ya Ball Control Skills za Lionel Messi, Ronaldo, Neymar na mastaa wengine
Najua mtu wangu wangu huwa unapenda soka na kila weekend hupendi upitwe na mechi kali, hususani zinazohusisha mastaa wako unaowakubali kama Neymar, Lionel Messi na Cristiano Ronaldo, huenda hii hukuwahi…