PICHA 9: Rais Magufuli alivyokutana na mabalozi na katibu wa SADC Ikulu walichokizungumza……
May 19 2016 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, John Pombe Magufuli amekutana na mabalozi mbalimbali pamoja na katibu mtendaji wa SADC Ikulu jijini Dar es salaam kwa ajili…
TBT: Pichaz 4 za Diamond na Alikiba walizowahi kupiga pamoja
Mtu wangu wa nguvu najua sasa hivi imekuwa kawaida kwa kila mtu kutumia siku ya Alhamisi kuweka picha zake za zamani katika social network, lengo likiwa kama kukumbukia maisha au…
VIDEO: Wizara ya Nishati na Madini imeomba kutengewa Trilion 1.22 kama bajeti yake ijayo
Wizara ya Nishati na Madini imepata time ya kuwasilisha hotuba yake ya makadirio ya mapato na matumizi kwa mwaka wa fedha 2016/2017.Waziri Sospeter Muhongo ndio alihusika kuiwasilisha Bungeni. Waziri Sospeter…
Picha 6: Basi liendalo Haraka Dar es salaam limeua mmoja leo May 19 2016
May 19 2016 katika eneo la Shekilango Jijini Dar es salaam imetokea ajali baada ya mwendesha bodaboda akiwa na abiria wawili kwenye pikipiki moja akijaribu kulipita gari lililokuwa mbele yake lakini pikipiki ikamshinda na…
VideoMPYA: Alikiba anakualika kuitazama video yake mpya inaitwa ‘Aje’
Alikiba anakualika kuitazama video yake mpya inaitwa ‘Aje’ ambayo imefanyika Cape Town South Africa ikiwa ni single yake ya kwanza kutoka chini ya mkataba na Sony Music aliousaini leo May…
Serikali imetangaza kuanza kutumika rasmi kwa alama hizi za Afrika Mashariki
May 19 2016 Serikali imetangaza rasmi alama za Jumuiya ya Afrika Mashariki zitakazotumika kwenye Ofisi za Serikali na katika shughuli zote rasmi za kiserikali. Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini…
Kutoka Jo’burg South Africa: kuanzia leo Alikiba yuko mikononi mwa Sony Music (Picha 16)
Mwimbaji staa wa bongofleva Alikiba kuanzia leo atakua mikononi mwa Sony Music kuanzia leo, kampuni kubwa ya muziki inayofanya kazi na mastaa wa dunia kama Beyonce, John Legend na Chris Brown. Moja ya…
VIDEO: Ma-MC wa harusi kuanza kulipa kodi, Mc Pilipili kayazungumza haya
May 18 2016 ziliripotiwa taarifa kwenye vyombo vya habari kwamba Serikali inaandaa Muswada wa Sheria wa ndoa kulipiwa kodi ambapo utawataka washereheshaji ‘Ma-MC’, watoa huduma ya chakula kumbini, wapika keki…
VIDEO: Cheka kidogo na huyu Mbunge anayejiita ‘Bwege’ na hivi vituko vyake Bungeni
Bado headlines za Bunge zinaendelea kutufikiakila kukicha, na May 17 2016 Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano iliwasilisha hotuba yake ya mapato na matumizi ya fedha kwa mwaka 2016/2017 Kazi…
Instagram: Muonekano mpya wa msanii Juma Jux
Kama wewe utakuwa mpenzi wa kufuatilia style za wasanii kuanzia mavazi mpaka Life style zao basi hii isikupite mtu wangu May 19 2016 msanii kutoka kiwanda cha bongoflevani Juma Jux…