VIDEO: Vyama vingine vya siasa vimeongea tena leo, ni kuhusu uchaguzi wa marudio Zanzibar
Leo March 17 2016 headline nyingine ni kutoka kwa Vyama visivyo na uwakilishi bungeni ikiwa ni pamoja na DP, CCK, SAU, AFP, TLP, ADA TADEA, UPDP, D. MAKINI, NRA, UMD, CHAUSTA…
Zikiwa zimebaki siku 3 kufanyika uchaguzi wa Marudio Zanzibar, CUF wameyazungumza haya….
March 20 2016 ni siku ambayo Uchaguzi wa marudio Zanzibar utafanyika, zikiwa zimebaki siku chache kufanywa kwa uchaguzi huo, matukio mbalimbali yamekuwa yakichukua vichwa vya habari ikiwamo nyumba ya Kamshina wa…
Top 10 news kutoka kwenye Magazeti ya Tanzania March 17 2016
Tayari nimekukusanyia Uchambuzi wa stori zote za magazeti leo March 17 2016, kila siku huwa nazipandisha kwenye account yangu ya Twitter >>>@millardayo. Jeshi la Polisi Z'bar linawashikilia watu 42 kwa…
Kutoka makao makuu ya Yanga, haya ni mambo matatu aliyoyaongea kocha wao leo
Klabu ya Dar Es Salaam Young Africans Jumamosi ya March 19 itarudiana na klabu ya APR ya Rwanda katika mchezo wake wa pili wa raundi ya pili ya michuano ya…
Umoja wa vyama visivyo na ushiriki bungeni vimeyaamua haya kuhusu marudio ya uchaguzi Zanzibar
Ikiwa ni siku kadhaa tangu headline za Umoja wa vyama vya katiba nchini (UKAWA) kutangaza kuwa havitashiriki uchaguzi wa marudio Zanzibar unaotarajiwa kufanyika March 20 2016, Leo March 17 2016…
Rais Magufuli kapiga simu kwenye kipindi cha TV ya Tanzania kwa mara ya kwanza tangu awe Rais (+audio)
Kwenye zile kubwa ambazo zimenifikia leo March 17 ni pamoja na hii ya Rais wa Tanzania Dr. John Pombe Magufuli kuvutiwa na kipindi cha Clouds 360 cha Clouds Tv mpaka akaamua kuwapigia…
Raymond alivyokutana na Diamond Platnumz..(+Video)
Kipaji cha Raymond kilianza kuonekana mwaka 2011 baada ya kushiriki kwenye mashindano ya kuchana yaani (FreeStyle) mkoani Mbeya na kuwa mshindi wa kwanza,alipokuja Dar kwenye fainali za mashindano hayo akaibuka…
Ilivyotokea mpaka Diamond Platnumz akakutana na Kanye West Los Angeles Marekani
Ni Story iliyochukua headlines hasa kwenye vyombo vya habari na mitandao hivi karibuni baada ya Diamond Platnumz kukutana na rapper wa marekani Kanye West Los Angeles Marekani. Sasa basi ninajua…
Magazeti ya Tanzania yalichoandika leo March 17 2016 kwenye, Udaku, hardnews na michezo
March 17 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye , Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu…
Agizo la kwanza alilolitoa Paul Makonda kama mkuu wa mkoa Dar (+Video)
Jana March 15 2015 Rais John Pombe Magufuli aliwaapisha wakuu wapya wa mikoa 26 ya Tanzania bara na kuwaagiza kutekeleza wajibu wao bila kuwa na hofu yoyote kutoka kwa watu…