Weekend hii ya mwisho wa mwezi unaweza kuangalia movie hizi kama upo Dar na Arusha.
Last Vegas ni moja ya movie mpya kwenye list ya movie zitakazoonyeshwa kuanzia leo 31/1 kwenye theaters tofauti na imewahusisha wakongwe kama Freeman,De niro,Douglas na Kline. Unaweza kwenda kuicheki kama…
Pichaz za kikongwe anayedhaniwa kuwa mchawi alivyokamatwa chumbani kwa mtu akiwa mtupu.
Hili ni tukio lilitokea huko Bukoba ambalo linamhusisha Kikongwe mmoja ambaye jina lake bado halijapatikana kukutwa chumbani kwa mtu huku akiwa mtupu chumbani kwa mtu. Mpaka sasa bado haijajulikana kama…
Sikiliza wimbo mpya wa Weusi uitwao Gere hapa.
Unaweza kuwa umewahi kulisikia kwenye taarabu neno hili Gere lakini Gere hii iliyoimbwa na Weusi ni tofauti,sikiliza ujue Gere ipi waliyomaanisha Weusi kwenye hii nyimbo ambao umefanywa kwa ushirikiano wa…
Umekisikia alichokisema Mr.blue kuhusu Director Nisher?kisikilize kupitia You heard ya leo Jan 31.
Unaweza kushangaa alichokizungumza hit maker wa wimbo wa Pesa Mr.Blue kumhusu Director kutoka Arusha Nisher,amezungumza pia kuhusu video yake Director anayetaka kufanya nae,sikiliza kupitia 87.8 Clouds Fm Mbeya. Bonyeza play…
Unataka kujua alichosema Okwi kuhusu Sakata lake lililopo sasa hivi,kipo hapa.
Baada ya headline mbalimbali zilizokuwa zikimhusisha Kiungo mshambuliaji wa timu ya Yanga Emmanuel Okwi hatimae amezungumza kuhusu taarifa hizo ambapo amesema hataki kuzisikia wala kuzungumzia habari za Simba na Etoile…
Kuhusu kupigana kwa wachezaji wa Yanga Cannavaro na Niyonzima – Yanga wakanusha
Benchi la Ufundi la klabu ya Young Africans limesikitishwa na taarifa zilizoenea kwenye baadhi ya vyombo vya habari kwamba wachezaji wa Young Africans kiungo Haruna Niyonzima na nahodha Nadir Haroub…
Ukamilifu wa story ya yule jamaa aliyekua tayari kumuua hata mama yake kwa ajili ya mali huu hapa,kupitia Hekaheka ya leo.
Huu ni muendelezo wa Hekaheka iliyoanza jana January 30,hivyo kama uliikosa sehemu ya kwanza,ipo hapa hapa millardayo.com unaweza kuitafuta na kuisikiliza ili umalizie story hii ya kusisimua,sikiliza kupitia 87.9 Clouds…
Javier Hernandez Chicharito atakiwa na vilabu sita, lakini anabaki Man United
Wakala wa mchezaji Javier Hernandez amethibitisha kwamba mshambuliaji huyo anaendelea kubakia Old Trafford pamoja na kutakiwa vilabu sita barani ulaya. Chacharito, 24, amekuwa akihusishwa na suala la kuondoka Manchester United…
Aaron Ramsey nje ya dimba kwa wiki 6
Kiungo wa Arsenal Aaron Ramsey hatoweza kuitumikia klabu ya Arsenal kwa takribani wiki sita, meneja wa klabu hiyo Arsene Wenger amesema. Ramsey ambaye amekuwa fomu nzuri msimu, tayari alishakuwa nje…
Kuhusu mpango wa TFF kutaka kubadili jina la Taifa Stars
Jina la utani la timu ya taifa ya soka ya Tanzania ‘Taifa Stars’ limeonekana kuwa njiani kuachwa kutumika baada ya raisi wa TFF Jamal Malinzi kusema kwamba wanakaribisha wazo la…