EXCLUSIVE: Harmonize hatoyasahau haya ya South Africa, Huddah na mengine
Harmonize ni msanii wa kwanza kusainiwa kwenye lebo ya Diamond Platnumz (WCB) ambapo amedrop single ya pili (bado) baada ya ile ya kwanza Aiyola, video ya ‘bado‘ aliifanyia South Africa…
Zigo Remix ya AY ft Diamond Platnumz ipo kwenye Top 10 na ngoma kali za Dunia za kituo kikubwa cha TV
Imekuwa ni kawaida kwa baadhi ya Tv kufanya Chat ya ngoma 10 kali za muziki duniani, ila huwa ni faraja kuona ngoma ya msanii kutoka ukanda unaotokea kuona anafanya vizuri…
Polisi na majambazi wamerushiana risasi leo, watatu wamefariki…(+Video)
Taarifa iliyonifikia Leo March 21 2016 kutoka kwa Kamanda wa Polisi Kanda maalum Dar es salaam Simon Sirro ni hili tukio la majambazi watatu kuuawa katika eneo la Masaki mwisho…
Mwandishi aliyetekwa Zanzibar kaongea kwa mara ya kwanza baada ya kupatikana (+Video)
Habari za kutekwa kwa mwandishi wa habari wa idhaa ya kiswahili ya DW ya Ujerumani Salma Said visiwani Zanzibar zilizidi kuenea katika kila kona huku kila mmoja akiwa hajui alipo…
Uko tayari kwa Izzo Bizness ? kaachia hii single mpya ‘Usijiovadoze’ feat Barnaba, Shaa isikilize hapa
Rapper kutokea Mbeya City, Emmanuel Simwinga aka Izzo Bizness time hii ametusogezea hii single mpya iitwayo Usijiovadoze ambayo amewashirikisha Barnaba na Shaa. Unaweza ukabonyeza play kuisikiliza hiyo single mpya hapa chini…
Maneno ya Rais Magufuli baada ya Dkt Shein kutangazwa kuwa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar
Kama ulipata taarifa za matokeo ya urais Zanzibar, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania John Pombe Magufuli yalimfikia pia, nakukaribisha kuzisoma sentensi Mbili za Rais Magufuli baada ya kupokea…
Leo ni Birthday ya Ronaldinho, hivi ni vitu vitano vya kukumbukwa kutoka kwake (+Video)
March 21 ni siku ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwa mkali wa soka kutokea Brazil Ronaldinho, ambae kwa siku ya leo anasherehekea kutimiza umri wa miaka 36. Ronaldinho kacheza vilabu kadhaa…
Majambazi walivyonasa kwenye mtego na kuuawa Dar, waliokuwa na mabomu pamoja na hirizi..
Taarifa iliyonifikia Leo March 21 2016 kutoka kwa Kamanda wa Polisi Kanda maalum Dar es salaam Simon Sirro ni hili tukio la majambazi watatu kuuawa katika eneo la Masaki mwisho…
Arsene Wenger ni kocha wa nne kuhusishwa kufukuzwa kazi Uingereza msimu huu, hili ndio jina la mrithi wake
Headlines za vibarua vya makocha wa Ligi Kuu Uingereza msimu huu kutoka katika vilabu vikubwa kuwa mashakani vinazidi kushika kasi kila kukicha, ilianza kwa kocha Jose Mourinho kufukuzwa kazi na…
Ariana Grade karudi kwenye headlines na hii single yake mpya ‘Be Alright’, isikilize hapa
Imepita miaka miwili tu toka msanii wa muziki wa Pop, Marekani, Ariana Grande aachie Album yake iliyopewa jina, My Everything…. good news ni kwamba msanii huyo time hii amerudi na hit single…