Matokeo ya Rais Zanzibar yemetangazwa hizi ni picha 15 kutoka eneo la tukio
Leo March 21 Tume ya Uchaguzu Zanzibar imetangaza matokeo ya uchaguzi ambapo imemtangaza mgombea wa CCM Dk Ali Mohamed Shein kuwa Rais Mteule wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kwa…
Rais Magufuli atekeleza agizo la Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam baada ya kuhakikiwa silaha zake..(+Picha)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli amekuwa mtu wa kwanza kutekeleza agizo la Paul Makonda ambaye ni mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam la…
Video Fupi ya Waziri wa nchi ofisi ya Rais – Tamisemi Georgea kayazungumza haya leo March 21, 2016
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais- TAMISEMI, George Simbachawene ametangaza leo March 21, 2016 kuwashughulikia wale wote wanaofanya hujuma katika sekta ya elimu nchini, wakiwemo Walimu wanaokimbia sehemu zao za kazi hususani…
BREAKING:Watu 4 wamefariki na wengine 6 wamejeruhiwa katika ajali iliyohusisha msafara wa kamati ya Tamisemi
Breaking News niliyopokea muda mfupi uliopita inahusu ajali iliyotokea Pwani ambapo watu wanne wamefariki dunia na wengine sita wamejeruhiwa katika ajali iliyohusisha msafara wa kamati ya Tamisemi Pwani Kwa mujibu…
Breaking: Dk. Ali Mohamed Shein ametangazwa kuwa Mshindi wa kiti cha Urais Zanzibar
March 20 2016 ilikuwa ni siku ya ambayo Wananchi wa Zanzibar walipata fursa ya kupiga kura ili kuwachagua viongozi wao, na hii ni baada ya kufutwa kwa uchaguzi wa awali uliofanyika october…
Obama alivyoweka Historia ya mahusiano ya Marekani na Cuba
Baada ya kutokuwa na uhusiano mzuri kati ya Marekani na jirani yake Cuba kwa muda mrefu, March 20 2016 Rais Barack Obama amefanya ziara ya siku 3 inayolenga kurekebisha uhusiano…
Pichaz 20:kutoka kwenye Kamatia Chini Lights UP Tour ya Navy Kenzo Club 71 Dar…
Usiku wa March 20 kundi la Navy Kenzo liliendelea na Tour yao ya Kamatia Chini Lights UP Tour ndani ya Club 71 Dar , nakufanya bonge la show na kuwaburudisha mashabiki waliokuwa…
Jinsi mashabiki walivyopata burudani kali kutoka kwa wasanii Club Bilz (+Picha)
Ni usiku wa March 20, 2016 ambapo wakali kutoka kwenye tasnia ya Bongo Fleva waliungana kwa pamoja kutoa burudani ya nguvu kwa mashabiki waliohudhuria katika ukumbi wa Club Bilz.miongoni mwa…
Magazeti ya Tanzania yalichoandika leo March 21 2016 kwenye, Udaku, hardnews na michezo
March 21 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye , Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu…
VIDEO: Rais Shein na Mama Samia Suluhu walivyoshiriki kupiga kura March 20, 2016
March 20 2016 ni siku iliyokuwa ikisubiriwa na Wanazanzibar ili kuikamilisha fursa ya kikatiba kwa kuchagua viongozi wawapendao akiwemo Rais, Wabunge na Madiwani, hii inafuatia kufutwa kwa matokeo ya awali…