VIDEO: Profesa Anna Tibaijuka amesema ‘Mkoa wa Kagera umefilisika’
Wakati bunge la 11 likiendele Dodoma, baadhi ya wabunge wamepata nafasi ya kuchangia katika bajeti kuu ya serikali kwa mwaka wa fedha 2016/2016. Profesa Anna Tibaijuka ambaye pia ni mbunge…
CUF wavunja ukimya kuhusu Lipumba kurejea kwenye uenyekiti
Baada ya aliyekua mwenyekiti wa chama cha wananchi CUF Prof. Ibrahim Lipumba kuandika barua ya kutaka kurejea katika wadhifa wake wa uenyekiti. Jun 17 2016 CUF kupitia kwa Mwenyekiti wa Kamati…
Donnie Yen na Mike Tyson kuzichapa kwenye movie mpya itakayoonesha leo Cinema…(+TRAILER)
Najua nina watu wangu ambao wanapenda kwenda Cinema kila weekend inapofika, kama upo Dar es salaam ningependa ukaitazama hii movie mpya iitwayo IP Man 3 ambayo ndani wameshiriki mastaa wawili…
Yanga wanaripotiwa kutumia zaidi ya milioni 200 kumsajili Mzambia
June 17 2016 mtandao wa soccer24.com umeripoti habari ambazo huenda zikawa na ukweli kutokana na taarifa hizo kutoka ikiwa ni masaa 11 yamepita toka www.herald.co.zw waliporipoti habari kama hizo na…
VIDEO: Wabunge wawili Chadema wasimamishwa kuhudhuria vikao kwa kulidanganya bunge
June 16 kamati ya bunge la maadili limetangaza kuwasimamisha wabunge wawili wa viti maalum CHADEMA Susan Lymo na Anatropia Theonest kwa makosa ya kulidanganya bunge. Mbunge Susan Lymo amehukumiwa kwa…
Kutoka TCRA wametoa ufanunuzi wa kufungiwa kwa simu feki….
Ni June 16, 2016 ambapo Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) yenye dhamana ya kusimamia shughuli za Mawasiliano ya Kielektroniki walizifungia simu feki zenye IMEI bandia Sasa millardayo.com imepata meneja wa Mawasiliano…
Wahitimu wa vyuo vikuu ‘kuula’ China
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter>>>@millardayo na Zote nakusogezea hapa chini. Moja ya stori ambayo…
Wabunge wengine wasimamishwa kuhudhuria vikao leo June 17 2016
Baada ya baadhi ya wabunge wa upinzani kusimamishwa kuhudhuria vikao vya bunge kwa muda tofauti kwa madai ya kukiuka kanuni za bunge. Leo June 17 2016 idadi ya wabunge kusimamishwa…
VIDEO: Majanga matano uzimaji wa Simu feki, Lugumi ‘kuwarejesha’ wapinzani bungeni
AyoTV kila asubuhi itakua inakuletea uchambuzi wa magazeti ya Tanzania kuhakikisha zote kubwa za siku unazipata, za leo June 17 2016 ziko hapa kwenye hii video. https://www.youtube.com/watch?v=FHDI6HYJS3w ULIKOSA HII YA MBUNGE ULEGA KUMPA…
Magazeti ya Tanzania yameamka na hizi leo June 17, 2016 kwenye, Udaku, Hardnews na michezo
June 17 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenyeMagazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Udaku, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye…