PICHA: Gari 5 za gharama duniani kwa mwaka 2016
Nafahamu nina watu wangu ambao wanapenda kununua magari mazuri na yenye thamani za juu, hivyo mtandao wa digitaltrend.com umetaja magari yenye thamani ambayo unaweza kuyanunua kwa mwaka 2016 na ukihitaji…
VIDEO: Mwimbaji Khadjanito kafunga ndoa Oct 29, 2016…..
Ni mwimbaji wa hit single ya ‘maumivu niache‘ ambayo kwa uzito ilimfanya Watanzania wamfahamu, October 29 2016 amefunga ndoa Dar es salaam na mchumba wake ambaye ni raia wa Congo…
Picha 13: Muonekano wa jiji la Mwanza leo kutokea juu
Najua ukiambiwa utaje mikoa kumi yenye kuvutia nchini inawezekana kabisa usiache kuitaja Mwanza, basi kama jibu ni YES naamini pia ungependa kuiona Mwanza katika muonekano wake kutokea juu. Ukimaliza kuzitamaza…
Kwa wanawake taarifa hii ikufikiea kutoka kwa Dk bingwa wa upasuaji
Asilimia kubwa ya wanawake walio katika hali ya kupata ujauzito nchini wanakabiliwa na hatari ya kujifungua watoto wenye vichwa vikubwa na mgongo wazi kutokana na tabia ya kutopenda kula matunda na…
VIDEO: Rais Magufuli amekiri kuzipenda nyimbo hizi..!!
Nafahamu moja kati ya vitu inawezekana ulikua unatamani kujua kutoka kwa Rais Magufuli ni pamoja na aina ya nyimbo anazopenda kusikiliza au kuangalia akiwa free. Basi leo Jumapili October 30,…
Ayo TV Magazeti: Majanga zaidi NSSF, Kilichomtumbua DCI Diwani
AyoTV kila siku asubuhi inakuletea uchambuzi wa magazeti ya Tanzania kuhakikisha zote kubwa za siku unazipata, za leo ziko kwenye hii video hapa chini. https://www.youtube.com/watch?v=HxPPFzJ7-sU ULIPITWA NA ZIARA YA KUSHTUKIZA ALIYOIFANYA…
Magazeti ya Tanzania October 30, 2016 kuanzia, Udaku, Hardnews na michezo
October 30 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye facebook, twitter na instagram @millardayo ili niwe nakutumia kila kinachonifikia. ULIMISS HII…
Picha 20: Fainali ya Miss Tanzania 2016 mwanzo mwisho Mwanza
Leo kwa mara nyingine tena Tanzania imeingia kwenye Headline ya kumpata Miss Tanzania 2016 baada ya miaka miwili kupita bila kufanyika shindano la Miss Tanzania, Shindano la Miss Tanzania limefanyika…
Picha 15: Kutoka Red Carpet ya Miss Tanzania 2016 Mwanza
Usiku huu wa October 29 2016 imefanyika fainali ya Miss Tanzania kwa mara ya kwanza nje ya Dar es salaam toka kuanzishwa kwake... kwa miaka zaidi ya 15 toka kuanzisha kwake limekua…
VIDEO: Magoli 17 yaliofungwa katika mechi za Liverpool, Man City, Arsenal na Tottenham Oct 29
Ligi Kuu England imepigwa leo michezo 7 katika ardhi ya England, tumeshuhudia baadhi ya timu zikichukua point zao tatu, wakati Man United wakiwa katika uwanja wao wa Old Trafford wameshinda…