PICHA 10: Mwimbaji Khadjanito kafunga ndoa Oct 29, 2016
Ni mwimbaji wa hit single ya 'maumivu niache' ambayo kwa uzito ilimfanya Watanzania wamfahamu, October 29 2016 amefunga ndoa Dar es salaam na mchumba wake ambaye ni raia wa Congo…
VIDEO: Rais Magufuli alivyofanya ziara ya kushtukiza Wizara ya maliasili na utalii
October 29 2016 Rais John Pombe Magufuli alifanya ziara ya kushtukiza katika ofisi za Wizara ya maliasili na utalii (Mpingo House) kwa lengo la kufuatilia utekelezaji wa operesheni ya kukabiliana…
PICHA 3: Simba yaifunga Mwadui FC kwa mara ya kwanza leo October 29 2016
Ligi Kuu soka Tanzania bara msimu wa 2016/2017 iliendelea tena Jumamosi ya October 29 2016 kwa michezo mitano kupigwa katika viwanja vitano, macho ya mashabiki wengi wa soka la bongo walikuwa…
Picha11: Maandalizi ya miss Tanzania leo Rock City Mall Mwanza.
Najua watu wangu wa Mwanza leo October 29 kwa mara ya kwanza wanashuhudia shindano la Miss Tanzania 2016, Rock City Mall naambiwa tayari maandalizi yamekamilika, millardayo.com imekusogezea picha 11 za maandalizi…
VIDEO: Rais Magufuli katengua uteuzi wa mkurugenzi leo
Taarifa kutokea Ikulu Dar es salaam leo October 29 2016 ni pamoja na hii ya Rais Dk. John Pombe Magufuli kutengua uteuzi wa mkurugenzi wa Makosa ya Jinai Nchini (DCI)…
Majibu ya ACT Wazalendo kwa Ole Sendeka baada ya kutaka Zitto achunguzwe
Jana October 28 2016, msemaji wa chama cha mapinduzi 'CCM' Christopher Ole Sendeka alikutana na waandshi wa habari pamoja na mambo mengine Christopher Ole Sendeka alimshutumu Zitto Kabwe kwa kile alichosema…
AUDIO: Ni kweli kulala na nguo za ndani chanzo cha ugumba?
Ebwana headline za utafiti zimekuwa zikichukua nafasi sana hivi sasa ambapo kwenye mitandao ya kijamii moja ya stori iliyochukua nafasi ni pamoja na ile inayosema kwamba 'Kulala na nguo za…
VIDEO: Majibu ya Linex kuhusu kuhamia kwenye muziki wa injili
Baada ya headline kuandikwa kwamba hivi sasa staa wa bongoflava Linex Sunday Mjeda ameamua kuachana na style ya muziki wake na kuhamika kwenye muziki wa injili, Linex mwenyewe amesimama mbele…
Habari kubwa zilizoandikwa kwenye magazeti ya Tanzania October 29 2016
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter >>>@millardayo. Tayari nimezikusanya na waweza kuzipata huko. https://twitter.com/millardayo/status/792206343121866753…
Jalada 300 ufisadi zatinga kwa DPP, Dawa feki kibao za malaria zanaswa zikiuzwa
AyoTV kila siku asubuhi inakuletea uchambuzi wa magazeti ya Tanzania kuhakikisha zote kubwa za siku unazipata, za leo ziko kwenye hii video hapa chini. https://www.youtube.com/watch?v=ar6GiD5LGIk ULIKOSA HII YA CCM KUTAKA ZITTO…