AUDIO: Alichokizungumza RC Gambo baada ya taarifa zilizodai kutenguliwa kwake kusambaa
Leo August 19 2016 zimesambaa taarifa zilizomhusu mkuu wa mkoa wa Ausha, Mrisho Gambo, taarifa hizo zilidai kuwa Rais Magufuli ametengua uteuzi wa mkuu huyo wa mkoa hata hivyo ikulu…
VIDEO: Vanessa Mdee aeleza jinsi alivyoandika wimbo mpya wa Mafikizolo..
Kama utakuwa unakumbuka hivi karibuni kundi la muziki kutoka Afrika Kusini, Mafikizolo lilitangaza kuachia wimbo wao mpya walioupa kwa jina la 'Kucheza'.Sasa basi good news ni kwamba Vanessa Mdee amehusika…
VIDEO: Mtanzania aliyechaguliwa kushiriki fainali za World Food Championships 2016
Mtanzania ‘Chef’ Fred Uisso amechaguliwa kushiriki kwenye fainali za mashindano ya World Food Championships 2016 zinazotarajiwa kufanyika Novemba 8-15, baada ya kufanya vizuri katika upishi wa nyama ‘Best Stake Chef’…
U HEARD: Alichokisema Linah kuhusu mpenzi wake mpya kumvisha pete mwanamke mwingine
October 19, 2016 Soudy Brown mtangazaji wa U Heard ya Clouds FM amepiga story na msanii Linah ambaye inadaiwa anatoka kimapenzi na jamaa mmoja anaitwa Shebby. Soudy ametaka kujua kuhusu…
Sauti Sol wameitaja video iliyowapa changamoto wakati wa maandalizi…
Ni kundi la muziki kutoka nchini Kenya, Sauti Sol ambapo leo October 19,2016 wamefunguka kuhusu ugumu walioupata kwenye maandalizi ya video yao ya single iitwayo 'Shake You Bam Bam' ambayo iliongozwa na…
HEKAHEKA: Mzee mmoja Mtwara ajikata sehemu za siri, kisa………
Leo October 19 2016 kupitia Leo Tena ya Clouds FM, Geah Habib ametuletea hekaheka kutoka Mtwara ambapo imeeleza kuwa mzee mmoja amejikata sehemu za siri baada ya kuugua na alipoenda…
VIDEO: Flora Mvungi kaitaja kashfa ambayo hatoisahau maishani mwake…
Ni headlines za msanii Flora Mvungi ambae leo October 19, 2016 amefunguka na kutaja kashfa ambayo hatoweza kuisahau maisha mwake. Msanii huyo ameipa heshima millardayo.com & Ayo TV na kuyaongea haya>>>>Mimi…
Rais wa Burundi amesaini rasmi kuiondoa nchi hiyo katika Mahakama ya ICC
Baada ya Serikali ya Burundi kutoa taarifa ya kutaka kujiondoa kwenye Mahakama ya makosa ya jinai ICC, Hatimaye imetoka Ripoti kuhusu Rais Pierre Nkurunziza wa Burundi kusaini mkataba wa kuiondoa…
‘Scorpion’ anayetumiwa kumtoboa macho Said alivyopandishwa kizimbani leo
Kesi inayomkabili Salum Njwete maarufu kama ‘Scorpion’ anayetuhumiwa kumchoma kisu na kumtoboa macho, Saidi Mrisho imetajwa leo tena kwenye mahakama ya Ilala Dar es salaam. Upande mashitaka uliiomba mahakama kuliondoa…
Licha ya ushindi wa Leicester dhidi ya Copenhagen, tukio hili linaweza kuwagharimu
Usiku wa October 18 2016 klabu ya Leicester City iliendeleza rekodi yao nzuri katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya, hiyo ni baada ya kucheza mchezo wao wa tatu na…