Magazeti ya Tanzania October 18, 2016 kuanzia, Udaku, Hardnews na michezo
October 18 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye facebook, twitter na instagram @millardayo ili niwe nakutumia kila kinachonifikia. ULIMISS…
Jurgen Klopp kashindwa kuendeleza ubabe wake kwa Jose Mourinho
Kwa zaidi ya wiki sasa presha ya mchezo wa Ligi Kuu England kati ya Man United dhidi ya Liverpool ilikuwa ikitawala kwa mashabiki wa soka duniani kote, usiku wa October…
AUDIO: Kauli ya Mkemi kuhusu kuvuliwa uanachama wa Yanga na Manji
Siku moja baada ya klabu ya Dar es Salaam Young Africans itangaze ajenda za mkutano mkuu wa dharura utakaofanyika Jumapili ya October 23, millardayo.com imempata Salum Mkemi ambaye ni mjumbe wa…
VIDEO: ‘Alitajwa mke wa marehemu mmoja mimi nafahamu wako wanne au watano’-JPM
Leo October 17 2016 Rais John Magufuli ameongoza wananchi wa jiji la Dar es salaam kuuaga mwili wa aliyekuwa meya wa jiji hilo Dk. Didas Masaburi aliyefariki October 12 2016.…
PICHA 10: Wasichana waliokuwa wametekwa na Boko Haram walivyokutana na familia zao.
Aprili 2014 zaidi ya wasichana 270 walitekwa wakiwa shuleni katika mji wa Chibok na wapiganaji wa Boko Haram, mpaka leo ikiwa ni baada ya zaidi ya miaka miwili tangu kutekwa…
Serikali imetenga mabilioni kumaliza ukosefu wa dawa nchini.
SERIKALI imesema imetenga jumla ya shilingi bilioni 70 kwa ajili ya kununua dawa na vifaa tiba ili kumaliza tatizo la ukosefu wa dawa nchini. Aidha imetenga jumla ya shilingi bilioni…
Afande Sele kakubali kujiunga CCM ? kayaongea haya…
Ni October 15, 2016 ambapo msanii mkongwe kutoka Bongoflevani, Afande Sele aliingia kwenye headlines mitandao za kuhusu kuhamia CCM kutokana na picha iliyosambaa ikimuonesha akiongea kwenye msafara uliosimamishwa na Makamu…
Mambo matano ya kufahamu kuelekea mechi ya Liverpool vs Man United
Usiku wa October 17 2016 klabu za Liverpool na Man United zitakutana kwa mara ya 192 katika historia lakini mchezo huo wa Ligi Kuu utakuwa ni mchezo wa 162 kukutana…
Kocha kaeleza sababu za Drogba kukataa kucheza mechi ya Jumapili
Nahodha wa zamani wa timu ya taifa ya Ivory Coast ambaye amewahi kuichezea klabu ya Chelsea ya England kwa mafanikio Didier Drogba ameingia kwenye headlines baada ya kugoma kuichezea klabu yake…
Walichokisema JKT kuhusu taarifa za utapeli wa kujiunga na Jeshi hilo
Leo October 17, 2016 Nimeipata hii kutoka Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) kuhusu kuutaarifu umma juu ya utapeli unaoendelea kufanywa na baadhi ya watu wanaojifanya wanauwezo wa kuwaingiza vijana wa…