VIDEO: Magoli mawili yaliofungwa na Simba vs Kagera Sugar October 15 2016
October 15 2016 uwanja wa Uhuru Dar es Salaam Simba waliikaribisha Kagera Sugar ya Bukoba kucheza mchezo wao wa tisa wa Ligi Kuu Tanzania bara, katika mchezo huo Simba walifanikiwa kuibuka…
Angalia Live mechi ya Moeskroen vs KRC Genk
Klabu ya KRC Genk inayochezewa na mtanzania Mbwana Samatta leo October 15 2016 inacheza mchezo mchezo wake wa Ligi Kuu Ubelgiji ugenini dhidi ya wenyeji wao Moeskroen, mtu wangu wa…
Picha: Muonekano wa Jiji la Mbeya leo October 15 2016.
Jiji la Mbeya ni miongoni mwa majiji matano ya Tanzania yanayokuwa kwa kasi kila siku, ukiondoka na ukarudi baada ya mwaka utakutana na mabadiliko makubwa ya mji, leo nimekusogezea picha…
Ushindi wa Simba dhidi ya Kagera, unaendeleza rekodi yao na Stand United
Ligi Kuu soka Tanzania bara msimu wa 2016/2017 umeendelea tena leo October 15 2016 kwa michezo mitano kupigwa katika viwanja mbalimbali Tanzania bara, katika uwanja wa Uhuru Dar es Salaam…
List ya wachezaji 30 wanaowania tuzo ya mchezaji bora Afrika na Samatta
Nahodha wa timu ya taifa ya Tanzania Mbwana Samatta October 15 2016 amepokea good news iliyotangazwa na shirikisho la soka Afrika CAF, good news ya Samatta iliyopokelewa na watanzania ni…
Agizo la Makamu wa Rais Samia aliposimamisha msafara wake Bagamoyo….
Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan ametoa agizo kwa Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo kuhakikisha wanakaa na makundi ya wakulima na wafugaji kujadili kwa pamoja na kutatua migogoro ya ardhi…
Karibu Mbeya 2016.. karibu soko jipya la kisasa Mwanjelwa
AyoTV inaendelea kukukutanisha na Tanzania, leo inakusogeza kwa karibu ulione soko jipya la Mwanjelwa lililopo Mbeya, ni soko lililojengwa kisasa na mpangilio wa kisasa wa kufanya biashara... unaweza kutazama hii…
VIDEO: Unakaribishwa Arusha, mall mpya ndio habari ya mjini
Unakaribishwa Arusha, jiji lililopo kaskazini mwa Tanzania... moja ya majiji matano Tanzania yanayoendelea kujengeka kila kukicha, itafikia time zile nyumba za chini mjini hazitokuwepo tena, tazama hii video hapa chini…
VIDEO & AUDIO: 10 zilizobamba kwenye Youtube account ya Millard Ayo wiki hii
Leo Oct 15 2016 nimezikusanya Top 10 zilizobamba wiki hii katika YouTUBE account ya mtu wako wa nguvu Millard Ayo, nitaomba pia uniandikie kwenye maoni kwa mtazamo wako ipi ingefaa…
Video mpya 5 za BongoFleva zinazochukuwa headlines Youtube sasahivi
Kazi yangu ni kuhakikisha haupitwi na chochote kinachonifikia basi hapa ninazo video 'MPYA' 5 ambazo zinachukua headlines kwenye mtandao wa Youtube kwa sasahivi, na kama ulimiss kuzitazama basi Millardayo.com inasogezea video hizi…