Burundi imejiondoa Mahakama ya makosa ya jinai ICC, Bado wana kesi hii….
Wiki hii nchi ya Burundi inazimiliki headlines za kutangaza kuwa bunge la nchi hiyo limepiga kura ya kujiondoa uanachama wake kwenye mahakama ya makosa ya jinai duniani ICC, Ripoti mpya…
Top10 stori zilizosikika kwenye Amplifaya ya CloudsFM Oct 13, 2016
Kama ulikosa time ya kuzisikiliza stori 10 kubwa za siku kwenye Amplifaya ya Clouds fm leo October 13 2016, basi usipate tabu mtu wangu maana nimezikusanya zote na kukusogezea hapa…
TOP10: Wachezaji wanaoongoza kwa mauzo ya jezi England msimu wa 2016/2017
List ya mastaa 10 wa soka wa Ligi Kuu England ambao wanaongoza katika list ya mastaa wa EPL wanofanya vizuri katika mauzo ya jezi, list hiyo imeongozwa na kiungo wa…
Mastaa 10 waliokufa na bado wanaoingiza pesa nyingi…
Mtu wangu najua unaweza kushangazwa na hii, mtu aliyekufa kuongoza list ya mastaa wanaingiza pesa nyingi wakati hawapo duniani. Michael Jackson ni mmoja wa mastaa ambao vifo vyao vimechukua headlines…
Mastaa wa EPL ambao hutowaona wakicheza weekend hii na waliopona majeruhi
Baada ya mapumziko ya mechi za kalenda ya FIFA na mechi za kuwania kufuzu kucheza Kombe la Dunia 2018 Urusi, weekend hii michezo ya Ligi Kuu England itaendelea kama kawaida,…
AudioMPYA: Maroon 5 wametuletea hii ‘Don’t wanna know’ ft. Kendrick Lamar
Band ya Maroon 5 wamerudi kwenye radio zetu sasa hivi na hii new single ya 'Don't wanna know' waliyomshirikisha rapper Kendrick Lamar. Nimekusogezea hapa chini unaweza kusikiliza mtu wangu https://youtu.be/OxPv8mSTv9U ULIMISS HII YA…
Imeripotiwa Kupotea kwa Rais wa Malawi, Peter Mutharika
Habari kubwa zinazotrend sasa hivi mtu wangu moja nii hii iliyoripotiwa na kituo kikubwa cha habari Kenya cha Citizen kupotea kwa Rais wa Malawi, Peter Mutharika ambae hajarudi nchini kwake tangu…
Mkataba wa kihistoria wa Chelsea na Nike uliyoweka rekodi
Klabu ya Chelsea yenye makao makuu yake London England leo October 13 2016 imeingia mkataba wa na kampuni ya vifaa vya michezo ya kimarekani Nike kwa ajili ya kuanza kuidhamini…
U HEARD: Ya Video queen wa Jike Shupa kuzaa na Juma Nature
Leo October 13, 2016 kupitia U Heard ya Clouds FM, mtangazaji Soudy Brown amepiga story na mrembo aliyeonekana kwenye Video ya star wa hit single ya Jike Shupa, Nuhu Mziwanda…
Habari nyingine nzuri kutoka Equity Bank
Mtu wangu leo niko na Good news kutoka Equity Bank ambao wamefungua tawi jipya kabisa kule Zanzibar na hili likiwa ni tawi la 14 nchini Tanzania kama ishara ya kujikita…