U HEARD: Masizi yamtibua Barakah Da Prince kwenye Video Cover ya Stan Bakora
October 10, 2016 Baada ya kuachiwa kwa Video ya wimbo Nisamehe wa msanii Barakah Da Prince aliompa Collabo Star wa single ya Aje Alikiba, Headlines mpya zimeibuka tena kutoka kwa…
Sababu kuu 2 za Samsung kusitisha utengenezaji wa Galaxy Note 7
Bila shaka taarifa hii itakua sio nzuri kwa watu wangu wanaopenda bidhaa za Kampuni kubwa ya kutengeza simu aina ya smartphone ya Samsung. Mtandao wa Reuters umeripoti kuwa Samsung wameamua…
Ukweli kuhusu tuhuma za Gerard Pique kutoa rangi za Hispania katika jezi yake
Usiku wa October 9 2016 wakati wa mchezo wa kuwania kufuzu kucheza Kombe la Dunia 2018 Urusi, kati ya timu ya taifa ya Hispania dhidi ya Albania, jina la beki…
Habari kubwa kutoka kwenye magazeti ya Tanzania October 10 2016
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter >>>@millardayo. Tayari nimezikusanya na waweza kuzipata huko. https://twitter.com/millardayo/status/785330013189107712…
Mambo 8 unayotakiwa kuyafahamu kuhusu Show aliyofanya Chris Brown Kenya
Ni Jumatatu poa sana mtu wangu, bila shaka ulikua na weekend nzuri pia, na kwa wale watu wangu kutoka Kenya najua ilikua poa zaidi baada ya kushuhudia bonge moja la…
VIDEO: Tecno Phantom 6 Plus ilivyoanza kuuzwa DSM, wateja wataja kilichowavutia
Jumamosi ya October 8 2016 Tecno phamtom 6 ilianza kuuzwa rasmi Tanzania katika viwanja vya City Mall Posta jijini Dar es salaam, ambapo watu wengi walijitokeza kuinunua. Baadhi ya wateja…
Magazeti ya October 10 2016…Matapeli waona fursa uhakiki vyeti, Hukumu ya kihistoria BoT
AyoTV kila siku asubuhi inakuletea uchambuzi wa magazeti ya Tanzania kuhakikisha zote kubwa za siku unazipata, za leo ziko kwenye hii video hapa chini. https://www.youtube.com/watch?v=15oI2mpTWvI ULIKOSA MAPENDEKEZO YA ZITTO KABWE KUHUSU…
Magazeti ya Tanzania October 10, 2016 kuanzia, Udaku, Hardnews na michezo
October 10 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye facebook,…
INSTAGRAM: Baraka hajapenda Stan Bakora anavyomuigiliza kwa weusi wake
Baada ya mchekeshaji Stan Bakora kuirudia ngoma ya Baraka The Prince, mdundo wa 'Nisamehe', Baraka ameiona video yenyewe na imeonekana hajapendezwa na ndio maana kwenye Instagram kaamua kumpa Stan Bakora…
VIDEO: Jikumbushe magoli 10 bora ya tiki-taka
Moja kati ya stahili au njia ngumu ya kufunga goli katika soka ni stahili ya upigaji tiki-taka, sio tu ufundi bali inahitaji umakini mkubwa wa kufunga kwa stahili hiyo pasipo…