VIDEO: Hutataka kupitwa na video ya Chris Brown alivyotumbuiza Mombasa
Mwimbaji staa kutoka Marekani Chris Brown October 8, 2016 aliungana na wasanii wengine akiwemo Wizkid wa Nigeria, Vanessa Mdee, Alikiba na wengineo kutumbuiza kwenye tamasha la Mombasa Rocks Music Festival…
VIDEO: Wizkid alivyotumbuiza kwenye Mombasa Rocks Festival…
Mwimbaji staa wa Nigeria Wizkid alikua kwenye list ya waliotumbuiza kwenye Tamasha la Mombasa Rocks Music Festival ambalo pia mgeni wake mkuu alikua Chris Brown na wengine wakiwa ni Vanessa…
VideoMPYA: Stan Bakora kairudia ‘nisamehe’ ya Baraka The Prince na Alikiba
Mchekeshaji Stan Bakora ambaye ameshawahi kuzirudia ngoma za wakali kama Mrisho Mpoto na kuzifanyia video, sasa hivi kaifanyia marudio na ngoma mpya ya Baraka The Prince na Alikiba 'nisamehe' unaweza kuitazama…
TOP 5: Wachezaji bora wa Laliga katika historia, Ronaldo hayumo hata Top 20
Moja kati ya habari zinazo-trend katika soka leo October 9 2016 ni kuhusiana na list ya wachezaji bora wa muda wote wa LaLiga, kituo cha uchunguzi, histoaria na takwimu za…
Rais Magufuli amethibitisha uteuzi wa Mkurugenzi huyu kutoka TCRA
Jumapili October 9, 2016 Nakusogezea taarifa hii kutoka Ikulu ya Tanzania kuhusu Rais John Magufuli kumthibitisha rasmi Engineer James Mitayakingi Kilaba kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania, TCRA.…
VIDEO: Ngoma za Jadi zilikuwa kwa Dk. Tulia weekend hii
October 8 2016 tamasha la mashindano ya ngoma za jadi lililoandaliwa na Naibu spika wa bunge la Tanzania Dk. Tulia Ackson yaliyopewa jina la'Tulia traditional dances festival 2016' lililofanyika katika viwanja…
VIDEO: Mabibi na mabwana nawaletea Alikiba kutoka Mombasa Rocks Music Festival
Mwimbaji staa wa Tanzania Alikiba alikua kwenye list ya waliotumbuiza kwenye Tamasha la Mombasa Rocks Music Festival ambalo pia mgeni wake mkuu alikua Chris Brown kutoka Marekani. Ukitaka kuona alichofanya Alikiba…
PICHA 12: Muonekano wa mitaa ya Mombasa nchini Kenya…..
Najua nina watu wangu ambao wanapenda kufahamu mitaa au miji mbalimbali ya nchi fulani sasa leo October 9, 2016 ripota wa millardayo...com & Ayo TV ametusogezea hizi picha 12 za…
MAGAZETI: Maeneo haya Dar yatajwa hatari kwa uporaji, CUF yaja na msimamo mpya kwa Shein, CCM
AyoTV kila asubuhi inakuletea uchambuzi wa magazeti ya Tanzania kuhakikisha zote kubwa za siku unazipata, miongoni mwa hizo ni pamoja na hizi kutoka gazeti la Nipashe zenye kichwa cha habari ‘'Maeneo…
Pichaz 10: Msimu wa Fiesta 2016 ulivyopokelewa Mtwara weekend hii
Msimu wa FIESTA 2016 weekend hii ulidondokea Mtwara kwenye usiku wa Jumamosi kwenye uwanja wa Nangwanda Sijaona ambapo jadi ya kuendeleza burudani ilikamilishwa na wakali wa bongofleva akiwemo Mr. Blue,…