VIDEO: Helikopta yamsindikiza Chris Brown alivyowasili Mombasa Kenya.
Mwimbaji staa kutoka Marekani Chris Brown amewasili Mombasa Kenya kwa ajili ya kutumbuiza leo October 8, 2016 kwenye tamasha lililopewa jina la Mombasa Rocks Festival ambapo jukwaani atasindikizwa na wakali…
VIDEO: Valencia alivyowatoroka Polisi kutoa pesa ya matunzo ya mtoto wake
Mshambuliaji wa kimataifa wa Ecuador anayeichezea klabu ya Everton ya England kwa mkopo akitokea West Ham United Enner Valencia amerudi kwenye headlines baada ya kuwakwepa mapolisi waliokuwa wanasubiri mechi imalizike…
PICHA 6: Chris Brown alivyonaswa akiwasili Hotelini Mombasa Kenya
Tunajua msanii kutoka Marekani Chris Brown ni mmoja ya wakali ambao wamepewa hati miliki ya stage ya tamasha la Mombasa Rocks Festival linalofanyika leo viwanja vya Golf Mombasa Kenya likiwa na…
AyoTV: Mwanafunzi aliyepigwa na Mwalimu Mbeya Day asimulia
October 6 2016 ilisambaa sana kwenye mitandao ya kijamii video iliyokua ikionyesha Mwanafunzi wa Mbeya Day Secondary akipigwa kwa mateke na makofi na Walimu ambao walikua kwenye shule hiyo kwa…
PICHA 15: Naibu spika Dk. Tulia na watu wake Mbeya kwenye siku ya kwanza ya ngoma za jadi
October 7 2016 Naibu spika wa bunge la Tanzania Dk. Tulia Ackson ameanzisha mashindano ya kuenzi tamaduni za jadi aliyoyapa jina la Tulia traditional dances festival 2016 ambayo yamefanyika katika…
Top 10 ya habari kubwa za magazeti ya Tanzania October 8 2016
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter >>>@millardayo. Tayari nimezikusanya na waweza kuzipata huko. https://twitter.com/millardayo/status/784602061576998912…
MAGAZETI: Mkono wa JPM waondoka na watu 100, Shule 34 zafundisha kuiba mitihani
AyoTV kila asubuhi inakuletea uchambuzi wa magazeti ya Tanzania kuhakikisha zote kubwa za siku unazipata, miongoni mwa hizo ni pamoja na hizi kutoka gazeti la Mwananchi zenye kichwa cha habari 'Mkono…
VIDEO: Jukwaa atalotumbuiza Chris Brown, Wizkid, Vanessa Mdee na Alikiba leo Mombasa
October 8, 2016 historia ya burudani itaandikwa katika viwanja vya Golf Club October 8, 2016 Mombasa Kenya ambapo mwimbaji staa kutoka Marekani, Chris Brown atatoa burudani ya nguvu ambapo wengine walioalikwa…
Magazeti ya Tanzania October 8, 2016 kuanzia, Udaku, Hardnews na michezo
October 8 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye facebook,…
TRAILERS: Movie 6 utazikuta Cinema Dar es salaam leo Oct 8
Najua nina watu wangu tu ambao wanapenda kwenda Cinema kila weekend kama hivi sasa kama upo Dar es salaam kuna hizi movie labda ukitazama Trailers hapa unaweza kushawishika kwenda kuzitazama.…