VIDEO: Rais Magufuli kuhusu madai ya kuzuia shughuli za kisiasa
July 29 2016 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli ameanza ziara ya siku nne katika mikoa ya Singida, Tabora, Shinyanga na Geita akitokea mkoani Dodoma…
VIDEO: MO Dewji alivyoeleza mchanganuo wa uwekezaji wake wa bilioni 20 katika klabu ya Simba
Jina la mkurugenzi mtendaji na Rais wa makampuni ya Mohammed Enterprises Tanzania Limited (MeTL) ambaye pia ni bilionea kijana Afrika Mohammed Dewji ‘MO’linazidi kuiingia kwenye headlines kila kukicha kutokana na biashara zake na…
VIDEO: Bilionea mtanzania katoa sababu za kwanini hajanunua ndege binafsi
Kama ni msomaji na mtumiaji mzuri wa mitandao hususani ya kijamii, basi utakuwa ushawahi kukutana na headlines za mtanzania katika jarida la Forbes, mtanzania Mohammed Dewji ambaye amewahi kutajwa na…
Ndani ya siku nne trafiki Dar wamezikusanya hizi milioni za faini
Kikosi cha usalama barabarani kanda maalum yaa Dar es salaam imetoa taarifa ya ukamataji wa makosa ya usalama barabarani kwa kipindi cha kuanzia July 25 2016 hadi July 28 2016.…
VIDEO: Sababu za MO Dewji kuachana na Singida United na kuiuza African Lyon
Headlines za mkurugenzi mtendaji wa makapuni ya MeTL Mohammed Dewji kutangaza kuinunua klabu ya Simba zinazidi kushika kasi katika mitandao, ila July 29 2016 katika mkutano na waandishi wa habari…
Huduma mpya ya usafiri wa treni kuanza Dar, Tazama hapa ratiba na vituo vyake
Leo July 29 2016 uongozi wa kampuni ya reli Tanzania 'TRL' umetangaza kubadilishwa kwa muda wa kuondoka treni ya abiria kutoka Dar es salaam kwenda bara kuanzia August 02 2016,…
Ni headline baada ya headlines… Navy Kenzo wapata shavu jipya
Ni Headlines za kundi la Navy Kenzo linaloundwa na Nahreel na Aika limechaguliwa kuwa mabalozi wapya wa Application ya simu iitwayo Klobaa inayohusika kuwakutanisha watumiaji wa hiyo application hiyo sehemu…
PICHA 15: Magari 15 ya thamani anayoyamiliki Floyd Mayweather
Floyd Mayweather ni bondia wa kimataifa anayetajwa kuwa mmoja wa mastaa wenye utajiri mkubwa duniani kupitia kazi yake ya ubondia, achilia mbali mataji makubwa aliyonayo, mwaka 2015 katika pambano lake la…
Vitu sita alivyoongea bilionea Mohammed Dewji katika mpango wake wa kuinunua Simba SC
Jina la mkurugenzi mtendaji na Rais wa makampuni ya Mohammed Enterprises Tanzania Limited (MeTL) ambaye pia ni bilionea kijana Afrika Mohammed Dewji 'MO' linazidi kuiingia kwenye headlines kila kukicha kutokana na biashara zake…
Habari kubwa kutoka kwenye magazeti ya Tanzania leo July 29 2016
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter >>>@millardayo. Tayari nimezikusanya na waweza kuzipitia hapa chini…