VIDEO: Koffi Olomide amekamatwa na Polisi Nairobi Kenya
Mwanamuziki wa Congo Koffi Olomide ambaye amewasili Nairobi Kenya leo asubuhi ya July 22 akiwa na wanamuziki wake pamoja na dancers wake kwa ajili ya show, ameripotiwa kukamatwa baada ya…
VIDEO: Magoli ya mechi ya Man United vs Borussia Dortmund July 22, Full Time 1-4
July 22 Manchester United inayofundishwa na kocha Jose Mourinho imekumbana na kipigo cha goli 4-1 kutoka kwa Borrusia Dortmund, katika mchezo wa kwanza wa mashindano ya International Champions Cup ambapo…
FA imemtangaza kocha mpya wa England leo July 22 2016
Ijumaa ya July 22 2016 chama cha soka cha England FA kimemtangaza kocha wa klabu ya Sunderland ya England Sam Allardyce "Big Sam" kuwa kocha mkuu wa timu ya taifa…
VideoMPYA: Edu Boy katuletea hii video mpya akiwa na Barnaba
Rapper Edu Boy time hii ametuletea hii video mpya ya single yake iitwayo Nimejifunza aliyomshirikisha Barnaba,ukishamaliza kuitazama hii video sio mbaya ukituachia na comment yako wakali hawa watapita hapa kujua…
Kamanda wa Polisi kayaongea kuhusu mtanzania aliyewekwa rehani Pakistani..
Baada ya wiki hii katika mitandao ya jamii kusambaa video inayomuonesha kijana mtanzania anayetambulika kwa jina la Adam Akida anayedaiwa kuwekwa Rehani nchini Pakistani kutokana na biashara ya dawa za…
Nay wa Mitego kayaongea kuhusu kufungiwa kwa wimbo wake ‘Pale Kati’
Ni July 16, 2016 ambapo Baraza la sanaa Tanzania (BASATA) limetoa rasmi tamko la kuufungia wimbo wa msanii wa Bongo Fleva, Nay wa Mitego uitwao PALE KATI. Sasa July 22,2016…
Jichagulie mapema leo utatazama movie gani Cinema kama upo Dar
Najua nina watu ambao wanapenda kwenda Cinema kila weekend, sasa kama upo Dar es salaam nina movie zitakazoanza kuoneshwa kwenye big screen July 22, 2016 hapa chini nimekuwekea Trailers. Madaari…
Behind the scenes ya video mpya ya Diamond ‘Kidogo’ ft P Square…..
Siku chache zilizopita niliisogeza kwako video mpya ya Diamond Platnumz aliyowashirikisha P Square. Lakini baada ya video hiyo kutoka na kupokelewa vizuri na mashabiki. Msanii huyo karudi tena wiki hii kuweka headlines zake…
PICHA 6: Magari yanayotumia umeme yaanza kutumika Afrika Mashariki
Hii imeripotiwa na BBC swahili kuwa magari yanayotumia nguvu za umeme yameanza kuuzwa Afrika Mashariki kwenye nchi ya Kenya kwa mara ya kwanza. Magari hayo hayatumii mafuta hata kidogo hii…
kiasi walichokusanya polisi ndani ya siku sita kutokana na makosa ya barabarani
Leo July 22 2016 imetolewa taarifa ya kikosi cha usalama barabara kanda maalum ya Dar es salaam ya ukamataji wa makosa ya usalama barabarani kwa kipindi cha kuanzia July 15…