Jichagulie mapema leo utatazama movie gani Cinema kama upo Dar
Najua nina watu ambao wanapenda kwenda Cinema kila weekend, sasa kama upo Dar es salaam nina movie zitakazoanza kuoneshwa kwenye big screen July 15, 2016 hapa chini nimekuwekea Trailers. The…
PICHA 15: Watu zaidi ya 70 wauawa ufaransa, Lori latumika katika shambulio
Kwenye vyombo vya Habari vya kimataifa, habari inayomake headline sasa hivi ni taarifa ya zaidi ya watu 70 kuuawa katika shambulio lililotokea katika mji wa Nice kaskazini mwa Ufaransa. Taarifa…
Trace TV imezitaja video tatu tu kutoka Tanzania kwenye Africa 10
Mtu wangu usisahau kuwa July 14 2016 Trace TV kupitia chat za Africa 10 wamezitaja video tatu tu kutoka Tanzania kwenye chat za Africa 10, ni chat ambazo zinawakilisha Video…
Magazeti ya Tanzania yameamka na hizi leo July 15, 2016 Kwenye, Udaku, Hardnews na michezo
July 15 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Udaku, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye…
VIDEO: Kauli ya Canavaro kabla ya Yanga kucheza na Medeama July 16 2016
July 16 2016 Dar es Salaam Young Africans watashuka uwanja wa Taifa Dar es Salaam kucheza mchezo wao wa tatu wa Kundi A wa michuano ya Kombe la shirikisho barani…
AudioMPYA: Black Coffee anakamilisha kolabo yake na staa wa marekani
Mshindi wa tuzo ya BET, Black Coffee ambae alikuwa akiwania tuzo aliyokuwa akishindania Diamond Platnumz ya Best International Act Africa ama msanii bora wa kimataifa kutoka Afrika, hapa ametusogezea hii…
AudioMPYA: Jux anayofuraha katuletea hii single yake mpya ‘Wivu’
Miongoni mwa mastar wa Tanzania wanaofanya Bongo Fleva ambao wana mashabiki wengi wa kike ni pamoja na Jux inawezekana labda aina ya muziki anaoufanya kuwagusa wasichana wengi. Zimesikika single zake…
Sahau za mwanzo, hizi ni picha 5 za Mbunge Zitto Kabwe kufunga ndoa…
Ni July 14, 2016 ambapo Mbunge wa Kigoma mjini, Zitto Kabwe ameingia kwenye headlines za kuuacha rasmi ukapera baada ya kufunga ndoa na mpenzi wake aliyemvisha pete ya uchumba miezi miwili…
VIDEO: RC Paul Makonda amekabidhiwa hizi milioni kwaajili ya madawati…..
Baada ya Rais Magufuli kutangaza elimu bure kuanzia elimu ya msingi mpaka kufikia kidato cha nne, kumekuwa na changamoto kubwa ya uhaba wa madawati ambapo Serikali ilianzisha kampeni ya uchangiaji…
VIDEO: Mtanzania aliyetunukiwa tuzo ya heshima ya viongozi wa kesho Austria, kayaongea haya
Tanzania bado inaendelea kufanya vizuri kimataifa ambapo hivi karibuni iliingia kwenye headlines ya Mtanzania Seleman Kitenge kutunukiwa tuzo na Crans Forum vienna (Austria). Seleman anaingia kwenye list ya kuwa mtanzania…