Mkataba mpya wa Azam TV na TFF umetangazwa leo July 12
Shirikisho la mpira wa miguu Tanzania TFF leo July 12 2016 limetangaza good news kwa mashabiki wa soka ambao huenda huwa wanakosa muda wa kwenda uwanjani kuangalia mechi, TFF leo…
Mgonjwa afariki, inadaiwa alilala nje ya Hospitali usiku kucha bila huduma, kisa?
July 12 2016 Kupitia Hekaheka ya Clouds FM, Geah Habib ametuletea hii hekaheka kutokea Tandale Hospitali Dar es salaam ambapo mgonjwa aliyetoka nje ya hospitali na kukaa nje ya hospitali na…
Trailer na picha 5 za aliyeigiza kama 2Pac kwenye movie mpya ya 2016
All eyez on me ni movie mpya ambayo itaanza kuonyeshwa kwenye majumba ya cinema November 2016 ikiwa na uzito wa maisha ya rapper maarufu 2Pac ambaye alifariki September 13 1996.…
VIDEO: Kwenye zilizotisha na hii ya mazoezi ya kijeshi Saudi Arabia imo
Kuna zile video au picha tu huwa unaweza kuchelewa kuziona lakini zilitembea sana au zinatembea bado na kuendelea kufikia watu wengi kupitia mitandao ya kijamii ambayo imerahisisha sana mambo siku…
TRAILER: July hii utaiona nyingine ya Jason Bourne kwenye cinema
Matt Damon anarudi tena kwenye cinema na itakua ni July 29 kuanzia Marekani akiwa na movie nyingine ya Jason Bourne ikiwa ni chapter nyingine ya Universal Pictures, kama umezifatilia movie zake…
VIDEO: Wateule 185 ndani ya ‘Tanuru la moto’ Ikulu, Mgonjwa amgundua daktari feki ICU
AyoTV kila asubuhi itakua inakuletea uchambuzi wa magazeti ya Tanzania kuhakikisha zote kubwa za siku unazipata, za leo July 12 2016 ziko hapa kwenye hii video. https://www.youtube.com/watch?v=-lSLsuW-o8E AJALI YA DARAJANI KIGAMBONI ILIKUAJE? MATENGENEZO ANALIPIA…
Mastaa 100 walioingiza pesa watajwa, Mayweather sio namba 1 tena.. Ronaldo, Messi, Kevin Hart wametisha
Orodha yenye utafiti wa mastaa gani wa dunia wameingiza pesa nyingi kwa mwaka mmoja uliopita imetoka na imechapishwa na jarida maarufu la FORBES ambalo limekua likifanya hivyo mara kwa mara. List yenyewe yenye…
VIDEO: Alichoongea Q Chief kuhusu anachokifanya Diamond Platnumz
Q Chief ni mmoja kati ya wasanii wa wakongwewa Bongofleva na inawezekana hujamsikia kweye ngoma mpya siku nyingi lakini anafatilia vijana wengine wanafanyaje, sasa leo ameamua kutoa ya moyoni kuhusu…
VIDEO: Jikumbushe TOP 5 ya magoli bora ya hatua ya mtoano Euro 2016
Michuano ya Euro 2016 imemalizika lakini kuna mambo mengi ya kukumbukwa kutoka katika michuano hiuyo ya 51 ambayo imemalizika kwa Ureno kuibuka kwa ushindi wa goli 1-0 dhidi ya mwenyeji…
Magazeti ya Tanzania yameamka na hizi leo July 12, 2016 Kwenye, Udaku, Hardnews na michezo
July 12 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Udaku, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye…