PICHA 14 : Mapokezi ya timu ya taifa ya Ureno baada ya kutua Lisbon na Kombe
Usiku wa July 10 2016 timu ya taifa ya Ureno ilifanikiwa kutwaa Kombe la mataifa ya Ulaya maarufu kama Euro, kwa kuifunga timu ya taifa ya Ufaransa kwa jumla ya…
Pesa zilizokusanywa toka Daraja la Kigamboni lianze tozo zatajwa
Mkurugenzi mkuu wa mfuko wa hifadhi ya jamii 'NSSF' Profesa Godius Kahyarara ameeleza mapato yaliyopatikana kwenye daraja la Nyerere tangu lilipofunguliwa rasmi May 14 2016. Unaambiwa zimepatikana shilingi Bilioni 1.3…
CAF wameipiga faini Yanga ya zaidi ya milioni 9 za kitanzania
July 11 2016 shirikisho la soka Tanzania TFF limetoa taarifa iliyoipata kutoka kwa shirikisho la soka barani Afrika CAF, TFF wametangaza maamuzi ya CAF yalioamuriwa juu ya klabu ya Dar…
Baada ya miaka 8 wapima VVU mke anao, mume hana, mume kaamua haya
July 11 2016 kupitia Hekaheka ya Clouds FM, Geah Habib amekutana na hii ya Dada anayeishi na mumewe kwa muda wa miaka nane sasa huku akiwa ni muathirika na mumewe hajaathirika, kama hukupata…
Video: Paul Makonda amemuapisha Mkuu wa Wilaya ya Ubungo
Baada ya kuwaapisha kwa Wakuu wa Wilaya wanne kati ya watano katika Mkoa wa Dar es salaam, leo July 11 2016 Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda…
PICHA 10: Kutoka kwenye usiku wa ‘moyo mashine’ na Ben Pol
Mtu wangu wa nguvu kama ni mpenzi wa burudani na kuparty 'Usiku wa Moyo mashine' na mkali wa RnB Ben Pol umefanyika July 10 2016 ndani ya Maisha Basement Dar es…
‘Jambazi aliyetoroka Mwanza aibua hofu’
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter >>>@millardayo. Tayari nimezikusanya na waweza kuzipitia hapa chini…
VIDEO: Uharibifu kwenye daraja la Kigamboni baada ya Lori kupinduka usiku
Usiku wa kuamkia July 11 2016 kulitokea ajali ya Lori lililokua limebeba kontena kwenye daraja la Nyerere Kigamboni Dar es salaam na kupinduka ikiwa hata miezi mitatu haijatimia toka kuzinduliwa kwa daraja…
Nchi 5 ambazo Askari hawaruhusiwi kubeba silaha za moto kwenye doria
Mauaji ya raia imekua topic kubwa kwenye media mbalimbali duniani kwa siku chache zilizopita na hiyo ni baada ya Polisi 'Wazungu' kuua Wamarekani weusi huku mauaji hayo yakinaswa na camera za…
Jamaa wametegesha camera kuona Mrembo akiiba hadharani watu watamfanyaje?
Jamaa wawili Marekani pamoja na Mrembo mmoja waliamua kutegesha camera kuona raia watamchukuliaje Mrembo anaefanya wizi hadharani tofauti na Mwanaume? tazama kwenye hii video hapa chini ujionee. https://www.youtube.com/watch?v=g7eq9W7EZQg JIONEE PARTY YA…