VIDEO: Diary ya Alikiba imefunguliwa, episode ya kwanza ni yeye na R Kelly
Mwimbaji staa wa bongofleva Alikiba ameanza kutimiza zile ahadi zilizotolewa katika mambo yake makubwa matano kwamba mojawapo ni hili la ROCKSTAR TELEVISION kuonyesha sehemu ya maisha yake ambapo leo wameanza na…
PICHA 10: Rais Magufuli kwenye baraza la Eid El Fitri leo Dar es salaam
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli leo July 06 2016 amehutubia Baraza la Eid el-Fitr kwa mara ya kwanza tangu achaguliwe kuwa Rais wa Jamhuri…
PICHA & VIDEO: Jose Mourinho alivyomsajili staa mpya Man United
Leo July 6 2016 Jose Mourinho anakuwa ametimiza siku moja toka atambulishwe rasmi kama kocha wa Man United ndani ya Old Trafford, Mourinho ametimiza siku moja ndani ya Man United…
Lionel Messi kahukumiwa miezi 21 jela Hispania July 6 2016
Mshambuliaji wa kimataifa wa Argentina anayeichezea klabu ya FC Barcelona ya Hispania Lionel Messi, leo July 6 2016 jina lake limeingia kwenye headlines baada ya hukumu ya kesi yake ya…
Polisi wameongea kuhusu picha za ajali ya Mabasi zilizosambaa leo
Kumekuwapo na picha ambazo zimesambaa kuhusu ajali inayodaiwa kuhusisha basi la kampuni ya Ngorika na lingine la Ratco kwamba yamegongana uso kwa uso ambapo millardayo.com imempata kamanda wa polisi mkoa…
Maamuzi ya mwisho ya mahakama kuhusu kesi ya Oscar Pistorious
Mwanariadha mlemavu wa miguu wa Afrika Kusini Oscar Pistorius leo amehukumiwa kifungo cha miaka 6 jela kwa kosa la mauaji ya mpenzi wake Reeva Steenkamp. Mwanariadha huyo tayari ameshatumikia kifungo cha…
VideoMPYA: Yemi Alade na Sauti Sol wametuletea hii ‘Africa’
Mtu wangu tuna kila sababu ya kujivunia muziki wa East Africa kuzidi kuchukua rotation kubwa kwenye Bara la Africa, July 6 2016 Yemi Alade anawashirikisha Sauti Sol kwenye mdundo mpya…
‘Mfungwa adaiwa kuuawa kwa kipigo’
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter >>>@millardayo. Tayari nimezikusanya na waweza kuzipitia hapa chini…
Nyingine mpya kutoka Vodacom imezinduliwa, icheck hapa
Vodacom imekuwa na dhamira ya kufanya ubunifu wa teknolojia kwa ajili ya kuwapeleka watanzania katika ulimwengu wa sayansi na teknolojia kwa kuwapatia huduma bora za kurahisishia maisha na kwa gharama…
Passport itakayotumika na nchi za Afrika sasa kuzinduliwa Afrika Mashariki
Viongozi wa umoja wa nchi za Afrika kwenye vikao vyake umepanga kutambulisha matumizi ya passport moja tu itakayotumika katika nchi zote za Afrika ili kurahisisha safari za ndani ya Afrika.…