‘Mabasi ya haraka kuanza kutumia gesi’
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter >>>@millardayo. Tayari nimezikusanya na waweza kuzipitia hapa chini…
VIDEO: Bosi TRA awekwa mtu kati, Mahakama ya mafisadi ‘kutafuna’ magaidi
AyoTV kila asubuhi itakua inakuletea uchambuzi wa magazeti ya Tanzania kuhakikisha zote kubwa za siku unazipata, za leo July 04 2016 ziko hapa kwenye hii video. https://www.youtube.com/watch?v=QZy9zTIdDtc ULIKOSA VITU VITATU VILIVYOPIGWA MARUFUKU NA RC…
Magazeti ya Tanzania yameamka na hizi leo July 4, 2016 Kwenye, Udaku, Hardnews na michezo
July 4 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Udaku, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye…
VIDEO: Top 10 ya nyumba za mastaa wa soka zenye thamani zaidi 2016
Mtu wangu wa nguvu July 4 2016 nakusogezea TOP 10 ya nyumba za mastaa wa soka zenye thamani zaidi duniani kwa mwaka 2016, najua wapo mastaa wa soka wengi ambao inawezekana ulishawahi kuona…
VIDEO: Baada ya ushindi mnono, Ufaransa itakutana na Ujerumani nusu fainali
Hatimae usiku wa July 3 2016 michuano ya Kombe la Mataifa ya Ulaya 2016 hatua ya robo fainali ilimalizika rasmi kwa robo fainali ya mwisho kupigwa katika uwanja wa Stade…
Chelsea imetangaza kukamilisha usajili wa mshambuliaji mpya
Klabu ya Chelsea ambayo msimu ujao itaanza kunolewa na aliyekuwa kocha wa timu ya taifa ya Italia katika michuano ya Euro 2016 Antonio Conte, imetangaza rasmi kukamilisha usajili wa mshambuliaji…
Utani mwingine unaohusu Shilingi yetu ya Tanzania….
Kumekua na utani wa aina nyingi sana kwenye mitandao yetu ya kijamii na wewe kama ni mmoja wa watumiaji utakua unakubaliana na mimi,utani ambao nimekutana nao na umenifurahisha ni huu…
PICHA 15:Mastaa waliohudhuria shindano la usomaji Quran Dar es Salaam.
Ni July 3, 2016 ambapo watu mashuhuri mbalimbali walikutana kwenye shindano la usomaji wa Quran ambapo tukio hilo lilihudhuriwa na mgeni rasmi Mbunge wa Chalinze, Mh.Ridhiwani Kikwete huku wakiwemo wasanii…
Ommy Dimpoz na Wayne Rooney kwenye selfie ya pamoja…
Kwenye zile stori za kwenye mitandao ambazo zimefatiliwa sana ni pamoja na hii ya Ommy Dimpoz kukutana na Wayne Rooney mchezaji wa Manchester United wakiwa Ibiza na kisha kupiga picha…
‘Mwarobaini wa wizi wa bodaboda, magari wapatikana’
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter >>>@millardayo. Tayari nimezikusanya na waweza kuzipitia hapa chini…