VIDEO: Tanzania inatengeneza helicopter, July itafanyiwa majaribio
Tanzania kwa mara ya kwanza imeingia kwenye headline baada ya Mtanzania wa kwanza ambaye anatengeneza helcopter itakayokuwa na uwezo wa kuchukua abiria wawili na ambapo mpaka sasa shilingi millioni tatu…
VIDEO: Maamuzi ya Kassim Mganga kwenye management yake
Muimbaji wa bongo fleva Kassim Mganga amekaa kwenye exclusive interview na AYO TV na moja ya swali aliloulizwa na kulitolea majibu ni hili la kuhusu management yake na akazungumzia kwamba…
VIDEO: ‘Kuwafunga wananchi miaka mitatu kwasababu hawana risiti haikubaliki’- Profesa Tibaijuka
Wabunge wameendelea kuichambua bajeti kuu ya serikali kwa mwaka wa fedha 2016/2017, mbunge wa Muleba kusini Profesa Anna Tibaijuka alisimama bungeni kutoa pendekezo lake na kukosoa kitendo cha serikali kuweka…
PICHA 5: Muonekano wa helicopter inayotengenezwa Arusha
Mtanzania Injinia Abdi Mjema ndiye anayeitengeneza helicopter hiyo katika chuo cha ufundi Arusha na hadi kufikia mwezi wa saba mwanzoni itaanza majaribio ya awali, helicopter itakuwa na uwezo wa kuchukua…
AUDIO: Weasel & Radio wamekutana na Dogo Janja kutengeneza hii Remix ya ‘My life’
Baada yakuuvunja ukimya kwa hit single ya 'My Life' Dogo Janja kutoka Tip Top Connection amekutana na wakali kutokea pande za Uganda, Weasel na Radio na wakaifanya hii remix ya 'My life',…
AUDIO: Wimbo wa Papa Wemba ft Diamond Platnumz umeachiwa leo June 24 2016
Legend wa muziki wa dansi Afrika Papa Wemba daima hawezi kusahaulika, licha ya kuwa tayari alishatangulia mbele za haki, Diamond Platnumz ni moja kati ya wasanii waliopata bahati ya kufanya…
CAF imetangaza kuitoa ES Setif Ligi ya Mabingwa Afrika
June 24 2016 shirikisho la soka barani Afrika CAF limetangaza maamuzi magumu ya kuitoa klabu ya ES Setif ya Algeria katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika, katika hatua ya nane bora hivyo…
VIDEO: ‘Milion 10 usajili wa namba binafsi sio sawa’ Mbunge Kiteto
Baada ya Serikali kupandisha tozo ya usajili wa namba binafsi za magari kutoka milioni 5 hadi 10 kwa miaka mitatu katika bajeti kuu ya serikali kwa mwaka wa fedha 2016/2017,…
Waziri Mkuu wa Uingereza, David Cameron ajiuzulu
Waziri mkuu wa Uingereza, David Cameron, ametangaza atajiuzulu baada ya kushindwa kuwashawishi raia wengi wa Uingereza, kusalia katika muungano wa Ulaya. Cameron akiwa amejawa na huzuni amesema kuwa atasalia ofisini kwa…
VIDEO: ‘Bank za Tanzania haziwasaidii wanyoge katika mikopo’-Mbunge Juliana Shonza
Bado headline za bunge la 11 limeendelea Dodoma, katika kipindi cha maswali na majibu leo nakusogeza karibu na mbunge wa viti maalum ccm Juliana Shonza ambaye hajaridhishwa na kiasi cha…