‘Sasa UKIMWI kupimwa nyumba kwa nyumba’
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter>>>@millardayo na Zote nakusogezea hapa chini. Moja ya habari iliyoripotiwa…
VIDEO: Rais Magufuli awajibu Jenerali, Gwajima, Katiba ya Warioba kufufuliwa?
AyoTV kila asubuhi itakua inakuletea uchambuzi wa magazeti ya Tanzania kuhakikisha zote kubwa za siku unazipata, za leo June 24 2016 ziko hapa kwenye hii video. https://www.youtube.com/watch?v=n2l7kcXwhd8 ULIKOSA HII YA RAIS MAGUFULI KUSEMA…
VIDEO: Mbunge Ally Keissy yeye anataka hadi mbwa walipiwe kodi
Bunge la 11 limezidi kuziandika headlines kutokea Dodoma, June 23 2016 baadhi ya wabunge walipata nafasi ya kuchangia bajeti kuu ya serikali kwa mwaka wa fedha 2016/2017, Mmoja ya wabunge…
Kama ni mtumiaji wa YouTube katika simu, wametangaza maboresho mapya
Kama wewe ni mmoja kati ya watumiaji wa mitandao kwa kutumia smartphone yako, basi mtandao wa YouTube umetangaza maboresho katika application yao kwa watumiaji wa simu za mkononi. YouTube wametangaza kuboresha…
Wema Sepetu na ex boyfriend wake ‘Luis Munana’….Wamerudiana?
Wema Sepetu na aliyekuwa mshiriki wa Big Brother Africa aliyeiwakilisha Namibia Luis Munana, walishawahi kuwa wapenzi suala ambalo halikuwa siri, kwani account zao za mitandao ya kijamii hususani Instagram, zilijieleza…
Magazeti ya Tanzania yameamka na hizi leo June 24, 2016 kwenye, Udaku, Hardnews na michezo
June 24 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenyeMagazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Udaku, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye…
PICHA 5: Gari 5 za Luxury zitakazotoka mwaka 2016
Nafahamu nina watu wangu wa nguvu ambao wao furaha yao siku zote ni kuendesha magari mazuri, na mara nyingi hawapendi kukaa nayo muda mrefu, hupendelea kubadilisha mara kwa mara. Mtandao…
AUDIO:Mtanzania Mroki kaeleza maisha yake ya soka la kulipwa Thailand
June 23 2016 millardayo.com imepata exclusive interview kutoka Kabin City Thailand inamuhusu mtanzania Hamisi Mroki “Haminho” ambaye anacheza soka la kulipwa katika klabu ya Kabin United, inawezekana ukawa hujawahi kusikia chochote…
CONFIRMED: Mkenya Wanyama amejiunga na Tottenham Hotspurs
Baada ya kiungo wa kimataifa wa Kenya na nahodha wa Harambee Stars aliyekuwa anaichezea klabu ya Southampton ya England Victor Wanyama mwenye umri wa miaka 24 kuhusishwa kwa muda mrefu…
VIDEO:Headlines za Diamond na Zari kuripotiwa na MTV Base
Good news kwa Diamond platnumz na mpenzi wake Zari wamechuzichukua Headlines leo June 23 2016 kupitia kituo kikubwa cha kimataifa MTV Base wameripoti kuhusu kuwa wawili hao kutarajia kupata mtoto…