VIDEO: Viatu vinavyotumia bluetooth kukuelekeza popote uendako
Taarifa hii ikufikie mtu wangu kama wewe utakuwa ni mpenzi wa kuvaa viatu, hii ni good news kwako, June 17 2016 nakusogezea moja kati ya viatu vinavyotumia bluetooth na venye uwezo wa…
PICHA 6: Floyd Mayweather kaongeza ndege ya pili yenye vifaa vya Dhahabu
Bondia maarufu duniani, Floyd Mayweather ameingia tena kwenye headlines kwa kuongeza ndege binafsi ya pili aina ya Gulf Stream III kwa madai kuwa moja haimtoshi katika matumizi yake binafsi na…
VIDEO: Majibu ya CUF baada ya ombi la Prof. Lipumba kutaka kurejea Uenyekiti
Baada ya aliyekua mwenyekiti wa chama cha wananchi CUF Prof. Ibrahim Lipumba kuandika barua ya kutaka kurejea katika wadhifa wake wa uenyekiti leo Jun 17 2016 CUF kupitia kwa Mwenyekiti wa Kamati…
VIDEO: Ninayo takwimu ya madini yanayotafutwa kwa wingi duniani hivi sasa
Huwenda haijawahi kukufikia kuhusu thamani ya baadhi ya madini yaliyopo duniani, June 17 2016 nakukutanisha na Waziri wa nishati na madini Prof. Sospeter Muhongo alisimama bungeni Dodoma na kutusogezea hii takwimu…
Aliyemtukana Rais Magufuli facebook achangiwa fedha akalipie faini
June 08 2016 Mahakama Kuu kanda ya Arusha ilitoa maamuzi kwa Isaac Abakuk ambaye alishitakiwa kwa kumtukana Rais John Magufuli kwenye ukurasa wake wa facebook ambapo mshitakiwa alitakiwa kulipa millioni 7 au…
VIDEO: Kwa zaidi ya miaka 15, Sweden haijawahi kuifunga Italia
Michuano ya Euro 2016 imeendelea tena June 17 2016 kwa michezo mitatu, ambapo mchezo mmoja tayari umeshachezwa kati ya timu ya taifa ya Italia dhidi ya timu ya taifa ya…
VIDEO: Dogo Janja yuko tayari Diamond ampigie hata mruzi tu iwe kolabo
Dogo Janja ni msanii wa bongofleva ambaye amerudi kwenye game baada ya kukaa kimya kwa muda mrefu bila kufanya muziki, hapa alikaa kwenye OnAIR with Millard Ayo na kuongelea msanii…
VIDEO: Taarifa za kugundulika kwa gesi mpya Tanzania
Katika kipindi cha maswali na majibu bungeni mbunge wa Kwela Ignasi Malocha alimuuliza Waziri wa nishati na madini Profesa Sospeter Muhongo kama kuna ukweli wowote kuhusu taarifa zinazosambaa kwenye mitandao ya…
PICHAZ 9: Treni mbili za kifahari kutengenezwa na kuanza kutumika May 2017 Japan
June 17 2016 nimekutana na hii stori kuhusu kuanza kutengenezwa kwa Treni za kifahari na siku zitakazoanza kutumika chombo cha habari cha ‘CNN’ wametoa taarifa na headlines zikionyesha kuanza kutengenezwa kwa Treni…
VIDEO: Profesa Anna Tibaijuka amesema ‘Mkoa wa Kagera umefilisika’
Wakati bunge la 11 likiendele Dodoma, baadhi ya wabunge wamepata nafasi ya kuchangia katika bajeti kuu ya serikali kwa mwaka wa fedha 2016/2016. Profesa Anna Tibaijuka ambaye pia ni mbunge…