VIDEO: ‘Wakulima wanalalamika mbegu walizopewa hazikuota’-Mbunge Doto Biteko
Wakati tukiendelea kuzipokea headlines za bungeni Dodoma wakati wabunge wakijadili bajeti kuu ya serikali kwa mwaka wa fedha 2016/2017 nakusogeza karibu na mbunge wa Bukombe Doto Biteko aliyepata nafasi ya…
VIDEO: Askari polisi akitaka kukukamata inabidi kuyafuata haya
Mtu wangu inawezekana umekuwa ukishuhudia namna askari wa polisi wakikamata watuhumiwa au inawezekana umekuwa ni mmoja wao waliokamatwa, Ayo TV imepiga stori na mwanasheria wa kujitegemea, Jebra Kambole ambaye anaeleza…
PICHA 3: Muonekano mpya wa Chid Benz baada ya kutoka Sober house
Msanii wa Bongofleva Chid Benz usiku wa June 15 2016 alipost picha za muonekano wake mpya ikiwa ni siku chache baada ya kutoka Sober house Bagamoyo, alipokuwa amekaa kwa siku…
VIDEO: Mawili ya mbunge Stephen Ngonyani ‘wananchi kufariki kwenye meli’
Bunge la 11 limeendelea Dodoma, katika kipindi cha maswali na majibu nakusogeza karibu na mbunge wa Karagwe vijijini Stephen Ngonyani maarufu 'maji marefu' aliposimama kuulizwa swali kwa Naibu waziri wa…
Utafiti umefanyika wanaotaka Bunge ‘live’
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter>>>@millardayo na Zote nakusogezea hapa chini. Moja ya stori ambayo…
VIDEO: Wabunge wavaa roho mbaya, Rais kushtakiwa kwazua mjadala mzito nchini
AyoTV kila asubuhi itakua inakuletea uchambuzi wa magazeti ya Tanzania kuhakikisha zote kubwa za siku unazipata, za leo June 16 2016 ziko hapa kwenye hii video https://www.youtube.com/watch?v=kuur2XDL3cc ULIKOSA MAALIM SEIF KUHOJIWA VOA? UNAWEZA…
Video: Chid Benz kaelezea maisha ya Sober House na mipango yake mipya.
Baada ya Chid Benz kutoka Sober House iliyopo Bagamoyo kwa ajili ya kupata matibabu ya kuacha kutumia madawa kulevywa, June 16 2016 Chid benz ameeleza jinsi alivyokuwa anaishi katika nyumba ya…
Magazeti ya Tanzania yameamka na hizi leo June 16, 2016 kwenye, Udaku, Hardnews na michezo
June 16 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenyeMagazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Udaku, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye…
VIDEO: Mabadiliko aliyoyatangaza Dk Tiboroha baada ya kujiunga na Stand United
June 15 2016 aliyekuwa katibu mkuu wa zamani wa klabu ya Dar es Salaam Young Africans Dk Jonas Benedict Tiboroha, ametangaza rasmi kuwa mmoja kati ya viongozi wapya wa Stand…
Kama ni mpenzi wa ngoma za Jamaica hizi ni 10 kali kutoka TRACE TV
June 15 2016 nakusogezea sound System ya Trace Urban Tv ni list ya video 10 kali za muziki wa Jamaica ambayo kila wiki huwa inazikutanisha ngoma kali kutoka upande wa Jamaica, pia usisahau…