VIDEO: Ujerumani wameanza kwa ushindi Euro 2016 dhidi ya Ukraine
Bado michano ya mataifa ya Ulaya maarufu kama UEFA Euro 2016, imeendelea tena leo June 12 Ufaransa kwa michezo mitatu kupigwa katika viwanja mbalimbali, mchezo wa mwisho kuchezwa kati ya…
PICHA 12 : Yanga wamewasili Uturuki na kuanza mazoezi
Kikosi cha klabu ya Dar es Salaam Young Africans leo June 12 kilisafiri kuelekea Uturuki kwa ajili ya kambi ya muda kuelekea mchezo wake wa kwanza wa Kombe la shirikisho…
PICHAZ 22 : Majengo ya kushangaza duniani.
June 12 2016 nakusogezea picha 22 za majengo yenye muonekano tofauti na majengo mengine uliyowahi kuyaona, Majengo haya yanapatikana nchi mbalimbali ikiwemo France, Marekani, Korea n.k imejengwa kwa staili ya…
Time ya kuenjoy hii single ‘Mama’ kutoka kwa Peter Msechu na Banana Zorro
Peter Msechu ni mwimbaji wa bongofleva ambaye headlines zake zilianzia kwenye BSS, kisha PROJECT FAME na baadae akarudi kwenye mzunguko wa bongofleva, sasa good news ni kwamba star huyo ameungana na…
PICHA 5: UEFA inajipanga kutoa adhabu kwa Urusi
Shirikisho la soka barani Ulaya UEFA, kufuatia vurugu za mashabiki wa Urusi zilizotokea katika mchezo wa Euro 2016 kati ya England dhidi ya timu ya taifa ya Urusi, limekaa na…
Kutoka kwenye Harusi ya Producer Manecky wa AM Records…(VIDEO)
Ni mtayarishaji wa muziki wa Bongo Fleva kutoka AM Records,Manecky ambaye June 11, 2016 amefunga ndoa na mrembo wake Lilian ambaye wana mtoto mmoja, ndoa ilifungwa Dar es Salaam, tazama…
Taarifa ya ACT-Wazalendo baada ya polisi kuzuia kongamano la kuchambua Bajeti
Baada ya Jeshi la polisi kuzuia mikutano ya hadhara ya vyama vya siasa Chama Cha ACT- Wazalendo kilipanga kufanya kongamao Jumapili ya June 12 2016 kwa lengo la kujadili Bajeti…
Ujenzi kiwanja cha Ndege kwa Rais Magufuli wazua mjadala
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter >>>@millardayo. Tayari nimezikusanya na waweza kuzipitia hapa chini…
Matokeo rasmi ya uchaguzi mkuu wa Yanga 2016
Matokeo rasmi ya uchaguzi mkuu wa Yanga 2016 uliofanyika jana June 11 2016 katika ukumbi wa Diamond Jubilee Dar es Salaam yametangazwa leo June 12 2016, uchaguzi huo ambao matokeo…
VIDEO: Kigogo aghushi shahada 2 ajira Serikalini, Panga latua wanaolipwa mil 40
AyoTV kila asubuhi itakua inakuletea uchambuzi wa magazeti ya Tanzania kuhakikisha zote kubwa za siku unazipata, za leo June 12 2016 ziko hapa kwenye hii video. https://www.youtube.com/watch?v=fJXgnBfwT6s ULIKOSA HII YA MBUNGE SUGU KUTAKIWA…