VIDEO: Kampuni ya puma imetoa bilioni 4.5 kwa serikali kama gawio la ubia kwa mwaka 2015
June 9 2016 kampuni ya puma energy imetoa gawio la shillingi billioni 4.5 kwa seriali kwa mwaka 2015 ikiwa ni gawio linalotokana na ubia wa asilimia uliopo kati ya kampuni…
Video: Hospitali ya Mwananyamala, Amana na TMK zitarajie huduma hii kutoka kwa Serikali ya Japan
Mkuu wa Mkoa wa Dar Paul Makonda amekutana na balozi wa Japan nchini na kuongelea changamoto wanazokutana nazo wagonjwa katika Hospitali za Dar, Amana, TMK, na Mwananyamala, hususani kwa wagonjwa…
Zlatan Ibrahimovich huenda akawa staa wa tatu kusajiliwa na Jose Mourinho baada ya staa huyu
Baada ya jana June 8 klabu ya Man United iliyopo chini ya Jose Mourinho kufanikiwa kufanya usajili wake wa kwanza kwa kunasa saini ya Eric Bailly kutoka Villerreal ya Hispania,…
Mahakama ya Rufani imefikia maamuzi haya kwa Kina Kitilya na wenzake
Mkurugenzi wa mashtaka 'DPP' alikata Rufaa mahakama kuu ya Tanzania akipinga uamuzi wa kufutwa kwa shtaka la nane la utakatishaji fedha. Uamuzi uliotolewa na Mahakama ya hakimu mkazi Kisutu na…
Na Uganda wamepandisha ada za namba binafsi kwenye magari
Bajeti ya serikali ya Tanzania ilisomwa June 8 2016 na ikawa gumzo kwenye vitu mbalimbali ambavyo kodi yake imepanda vikiwemo vinywaji baridi, vinywaji vikali pamoja na namba binafsi za magari.…
TAS wazungumza haya kuhusu majina wanayoitwa watu wenye Ualbino
June 09 2016 Chama cha watu wenye ualbino (TAS) wamekutana na vyombo vya habari ambapo wameeleza kuhusiana na siku ya kimataifa ya kuongeza uelewa kuhusu ualbino. Siku hiyo ni June…
VIDEO: ‘Ibaki story’ ya Rich Mavoko ilivyotengenezwa South Africa
Tunayo single mpya sasa hivi kwenye Radio na TV inaitwa 'ibaki story' ya Rich Mavoko ambaye juzi ametangazwa kusainiwa kwenye lebo ya Diamond Platnumz WCB, pamoja na kuyaona au kufikiwa…
VideoMPYA: Young Killer na Mr Blue kwenye video mpya ‘Kumekucha’
Star wa Fiesta Super Nyota 2012 kutoka Mwanza Young Killer leo katuletea hii video mpya ya 'Kumekucha' ambayo amemshirikisha Mr Blue, ukishaitazama usiache kuniandikia comment yako umeionaje na yeye atapita hapa kuona walichosema watu wake.…
Mambo yakufahamu baada ya RC Paul Makonda kukutana na Balozi wa Japan nchini…
June 9, 2016 Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amekutana na balozi wa Japan na kuongelea kuhusu Hospitali zote Dar zikiwemo Amana, TMK, na Mwananyamala ambazo hazina…
VIDEO: Hanscana afunguka alichokifanya ili kujulikana
Mtu wangu kama utakuwa unafuatilia na kuangalia video za kibongo na hata za baadhi za wasanii kutoka East Africa, utakuwa unaliona jina la Director Hanscana ambaye kwa sasa ni moja…