Kesi ya aliyemtukana Rais Magufuli facebook imeshindwa kuendelea leo
Kesi inayomkabili Isaac Abakuk ambaye anatuhumiwa kumtukana Rais John Magufuli kwenye ukurasa wake wa facebook June 08 2016 imeshindwa kuendelea kutokana na upande wa Jamhuri kutokamilisha ushahidi na kuiomba Mahakama kuahirisha…
VIDEO: Waziri Mwakyembe hajapendezwa na kauli za wapinzani na kaamua kuyatoa ya moyoni
Headlines za kutokea bungeni dodoma bado zinazidi kukufikia kwa wepesi zaidi kila kukicha, najua shauku ya wengi ni kuisubiria bajeti kuu ya mwaka 2016/2017 kusomwa hapo kesho June 8 2016.…
VIDEO: Waziri Nape kaitoa hii ya wachezaji kutumia dawa za kuongeza nguvu michezoni
Headlines za kutokea bungeni dodoma bado zinazidi kukufikia kwa wepesi zaidi kila kukicha, najua shauku ya wengi ni kuisubiria bajeti kuu kusomwa hapo kesho June 8 2016. Lakini bado kuna…
NEC wamerudisha fedha zilizobaki kwenye uchaguzi kwa Rais Magufuli na tayari zimepangiwa matumizi
June 07 2016 Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kupitia kwa mwenyekiti wa Tume Jaji Mstaafu Damian Lubuva imekabidhi hundi ya Bilioni 12 kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa…
TFF imekubali kamati ya uchaguzi ya Yanga iendelee na uchaguzi wao, ila?
Shirikisho la soka Tanzania TFF leo June 7 2016 kupitia kwa Rais wa shirikisho hilo Jamal Malinzi alikaa kikao pamoja na makamu mwenyekiti wa Yanga anayemaliza muda wake Clement Sanga,…
VIDEO: Ishu ya wakuu wa mikoa na wilaya kuombaomba pesa kwa wakurugenzi imefikishwa bungeni
Bado tunaendelea kuzisogelea headlines za bungeni Dodoma, na leo June 7 2016 mkutano wa tatu kikao cha thelathini na nane kimeendelea na kazi kubwa ikiwa ni maswali na majibu kutoka…
PICHA 10: Mpango wa RC Paul Makonda baada ya magari mabovu yaliyokuwa ofisini kwake kutengenezwa
Kama utakuwa unakumbuka mnamo Mei 17, 2016 Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda aliingia kwenye headlines baada ya kuungana na chama cha Mafundi wa magari kutoka wilaya ya…
Baada ya vyama vya siasa kuonesha nia ya mikutano, maandamano, Jeshi la polisi limekuja na hii taarifa
June o7 2016 Jeshi la Polisi nchini limetoa taarifa inayosema kwamba wamepokea taarifa kutoka kwa baadhi ya vyama vya siasa wakitaka kufanya mikutano na maandamano hata hivyo, Jeshi la Polisi…
VIDEO: Milioni 40 zinapotea kwa siku moja kutokana na watumishi hewa wa bungeni
Wakati bunge likisubiri kuanza kusomwa kwa bajeti kuu June 8 2016 nakukutanisha na mahojiano yanayoendelea kwa sasa, Mbunge wa jimbo la Nkasi kaskazini Ally Keissy ametusaidia kuipata takwimu ya kiwango cha fedha…
Mwingereza kortini Kenya kwa tuhuma za kumuua mkewe na kusingizia kajiua mwenyewe
Mfanyabiashara mwenye asili ya Uingereza Richard Alden amefikishwa Mahakamani akituhumiwa kuhusika na mauaji ya Grace Wangechi Kinyanjui ambaye alikuwa ni mke wake wa pili katika nyumba yake ya kifahari nchini…