Kama umepanga nyumba au kupangisha taarifa hii ikufikie kutoka jeshi la polisi Dar es salaam
Kamishna wa polisi kanda maalum ya Dar es salaam Simon Sirro ametoa wito kwa wamiliki wote wa nyumba jijini Dar es salaam kuhakikisha kuwa wanaweka kipengele cha kuwepo na picha…
VIDEO: Wabunge wa CCM wamepinga shinikizo la wapinzani kutaka kumuondoa naibu spika Dk.Tulia
Baada ya June 2 2016 kambi rasmi ya upinzania bungeni kutoa tamko la kutaka Naibu spika wa Tanzania Dr. Tulia Ackson aondolewe madarakani kwa azimio la kuvunja sheria inayoendesha bunge,…
VIDEO: Waziri Ummy Mwalimu kasema ‘hatutachukua Daktari anayetaka kukaa Dar’
Wakati bunge la 11 likisubiri kujadili bajeti kuu ya mwaka wa fedha 2016/2017 inayotaraji kuwasilishwa June 8 2016, nakusogeza karibu na yaliyojiri bungeni leo June 3 2016 katika kipindi cha…
PICHA 15: Kutoka kwenye party ya Shetta alivyowashukuru wadau wa Bongo Fleva
Ni Usiku wa June 2, 2016 ambapo msanii Shetta aliingia kwenye headlines baada ya kufanya sherehe ya kuwashukuru mashabiki kuupokea wimbo wake mpya uitwao Namjua pamoja na kutambulisha uongozi wake…
Ufafanuzi wa Serikali kuhusu tuhuma zilizotolewa na gazeti la ‘THE ECONOMIST’ la Uingereza
Serikali imekanusha habari zilizoandikwa na gazeti la Kiingereza linalotoka kila wiki lililodai kuwa Rais John Magufuli anaongoza nchi kwa msukumo licha ya kuonekana mzuri na kuwa taarifa hiyo imelenga kuupotosha…
Majibu ya Makamu Mkuu wa chuo cha St Francis kuhusu kuwafukuza wanafunzi
Ishu za wanafunzi vyuoni kufukuzwa na migomo zimezidi kuchukua headlines ambapo baada ya UDOM na UDSM, taarifa niliyoipata ni kutokea Kilombero, Ifakara kwenye chuo kikuu kishiriki cha tiba na afya…
VIDEO: Meno ya gold ya Diamond yaonekana akimuongelea Harmonize na Korede
Kupitia Twitter yake Diamond aliandika kuhusu ngoma itayowakutanisha wakali wawili ambao ni Harmonize wa Tanzania na Korede wa Nigeria, sasa AyoTV imempata kwenye Exclusive Interview na kuelezea ambapo pia muonekano…
TB Joshua katoa msaada kwa Watanzania na kumkabidhi mama Magufuli
Mke wa Rais Mama Janeth Magufuli amemshukuru nabii TB Joshua wa Nigeria kwa msaada alioutoa kwa Tanzania baada ya kuongea nae na kumueleza maono yake. Mama Janeth amesema 'Namshukuru kwa…
EXCLUSIVE: Jibu alilotoa Aunty Ezekiel kuhusu ndoa na Mose Iyobo
Mwigizaji wa bongo movie Aunty Ezekiel amekaa kwenye Exclusive Interview na AyoTV na moja ya maswali ameulizwa ni kuhusu ndoa na Baba mtoto wake aitwae Mose Iyobo ambaye ni dancer…
Wanafunzi waliochafua picha ya Rais na kuandika matusi wasimamishwa masomo Burundi
Jeshi la Burundi limewasimamisha masomo Wanafunzi wa darasa la nane baada ya kuzichorachora vibaya picha za raisi wa Burundi Pierre Nkurunziza ambapo waliosimamishwa ni zaidi ya 300 ambapo pamoja na kuzichorachora, wameziharibu…