VIDEO: Leo June 1 2016 ni Birthday ya Chicharito, angalia TOP 5 ya matukio yake ya kukumbukwa
Javier Hernandez maarufu kama Chicharito sio jina geni masikioni mwa wapenda soka hasa wa Ligi Kuu Uingereza, kwani wanamkumbuka kwa kuichezea Man United kwa miaka mitano kabla ya 2015 kuamua…
Alikiba katangaza utaratibu atakaotumia kuanza kufollow mashabiki wake
Perfect Crispin ni mtangazaji wa Clouds FM ambaye hapa anatusogezea stori zilizochukua headlines kutoka kwenye tasnia ya Bongo Fleva, ambapo leo June 1 2016 ametusogezea hizi stori tatu ikiwemo ya utaratibu ambao Alikiba…
VIDEO: Mbunge Kiteto Koshuma kasimama kuhoji zile milion 50 za Rais Magufuli kila kijiji, anaomba ziongezwe
Baada ya Wizara ya fedha na mipango kuomba kuidhinishiwa zaidi ya trilion 9.5 kama bajeti yake kwa mwaka wa fedha 2016/2017. Mbunge wa viti maalum CCM Kiteto Koshuma amesimama bungeni na…
PICHA 5: Naibu Waziri Masauni kafika msitu wa mapangopori ya Amboni yanayodaiwa kuwa njia ya majambazi
Taarifa iliyochukua vichwa vya habari vya magazeti ya leo June 01 2016 ni kuhusu mauaji ya watu wanane waliouawa na watu wanaodhaniwa ni majambazi katika kata ya Mzizima, tarafa ya…
#VIDEO: Aunt Ezekiel asema tofauti ya Mose Iyobo na waliopita
Mwigizaji Aunty Ezekiel amesherekea mwaka mmoja wa kuzaliwa kwa mtoto wake Cookie, kwenye interview hii Aunty Ezekiel kazungumzia jinsi Dancer wa Diamond Platnumz, Mose Iyobo alivyo na nafasi kubwa kwenye maisha yake…
VIDEO: Waziri Mpango alivyoomba kuidhinishiwa trilion 9.5 za Wizara ya fedha na mipango
June 01 2016 Wizara ya fedha na mipango imewasilisha bungeni hotuba ya makadirio ya mapato na matumizi kwa mwaka wa fedha 2016/2017. Hotuba imesomwa na Waziri wake Philip Mpango. Waziri…
PICHA 5: Ndondo Cup 2016 inarudi tena, vifaa vimekabidhiwa leo June 1 2016
Burudani ya soka la mchangani inarudi tena kwa mwaka 2016, haya ndio mashindano ambayo yameanza kukua kwa kasi na maarufu Dar es Salaam, yanaandaliwa na Sports Extra ya Clouds FM…
Sahau kuhusu siku 60 za TFF, Yanga wametoa ratiba yao ya uchaguzi na utaratibiwa na wao wenyewe
Klabu ya Dar es Salaam Young Africans leo June 1 2016 kupitia katibu mkuu wake Baraka Deusdedit wametoa kalenda ya uchaguzi mkuu wa klabu hiyo, ikiwa ni siku chache zimepita…
Bei za mafuta ya petrol, diesel na mafuta ya taa zaanza kutumika leo…..
June 1, 2016 Mamlaka ya udhibiti wa huduma za nishati na maji nchini (EWURA) imetoa bei mpya za mafuta ya taa na mafuta ya Petrol, Diesel katika masoko yote ya jumla na…
Wizara ya fedha na mipango imeomba kutengewa trilion 9.5 kama bajeti yake ijayo
June 01 2016 Wizara ya fedha na mipango imewasilisha bungeni hotuba ya makadirio ya mapato na matumizi kwa mwaka wa fedha 2016/2017. Hotuba imesomwa na Waziri wake Philip Mpango. Waziri…