Mke wa trafiki adaiwa kukiri kumuua mumewe, ataja hii sababu
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter>>>@millardayo na Zote nakusogezea hapa chini. Moja ya story kubwa…
Wizara ya Mambo ya Nje imeomba kutengewa Shilingi Bilion 151 kama bajeti yake ijayo
Nakukutanisha na headlines za bungeni Dodoma ambapo leo May 31 2016 Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki kikanda na Kimataifa kupitia kwa Waziri wake Augustine Maige…
Wabunge wa Upinzani wametoka nje ya bunge kuonyesha kutokuwa na imani na Naibu Spika Tulia Ackson
May 31 2016 headlines za bunge bado zinaendelea kuchukua nafasi kutokea Dodoma, taarifa mpya ni hii ya Wabunge wa upinzani kususia vikao vinavyoendelea ikiwa ni kuinyesha kutokuwa na imani na…
VIDEO: Mume wa dada wa bilionea Msuya atiwa mbaroni, Maalim Seif uso kwa uso na polisi
AyoTV kila siku asubuhi itakua inakuletea uchambuzi wa magazeti ya Tanzania ambapo Alice Tupa ndio ataifanya hii kazi kuhakikisha unapata habari zote kutoka kwenye Magazeti ya Tanzania yenye hardnews, michezo na udaku vilevile… bonyeza…
Tamko la ACT Wazalendo baada ya wabunge wa upinzani kufungiwa
Baada ya Kamati ya Maadili, Haki na Madaraka ya Bunge kuwatia hatiani wabunge saba kwa makosa mbalimbali ikiwemo kudharau madaraka ya bunge ambapo wabunge Easther Bulaya na Tundu Lissu wameadhibiwa…
Magazeti ya Tanzania yameamka na hizi leo May 31, 2016 kwenye, Udaku, Hardnews na michezo
May 31 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenyeMagazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye facebook,…
RC Paul Makonda kuhusu Wamachinga wa Dar na maeneo yao mapya…(+Video)
Ni siku kadhaa tangu wafanyabiashara wadogo wadogo (Wamachinga) kuondolewa kando kando mwa barabara na kupelekwa kwenye maeneo yao husika yaliyotengwa na Serikali. Najua nina watu wangu mnataka kufahamu Mkuu wa…
Ukweli wa taarifa za Kipre Tchetche kusaini Oman, umeelezwa na C.E.O wa Azam FC
Baada ya kuenea kwa habari za mshambuliaji wa kimataifa wa Ivory Coast anayeichezea klabu ya Azam FC Kipre Tchetche kuripotiwa kusaini klabu ya Nahda Al-Buraimi ya Oman, afisa mtendaji mkuu wa klabu hiyo…
Aliyesimamishwa kazi na Waziri wa Elimu,Ndalichako amezungumza haya..(+Audio)
Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Mafunzo ya Ufundi, Professor Joyce Ndalichako alivunja bodi ya Tume ya vyuo vikuu Tanzania (TCU), baada ya kubaini kuwa tume hiyo ilipitisha majina ya…
AUDIO: Mkwasa ameongea mambo mawili kuhusu Cannavaro na tathmini ya Taifa Stars
Kocha wa timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars Charles Boniface Mkwasa amerejea na kikosi chake akitokea Nairobi Kenya alipokuwa anacheza mechi ya kirafiki na timu ya taifa ya Kenya Harambee…