VIDEO: Waziri Ndalichako katolea ufafanuzi kufukuzwa kwa wanafunzi wa UDOM
Serikali kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi ilitangaza kuwafukuza jumla ya wanafunzi 7802 kutoka Chuo kikuu cha Dodoma (UDOM) kufuatia mgomo wa Walimu unaoendelea hivi sasa. Waziri Joyce Ndalichako amesimama…
#AUDIO: Dada wa Marehemu Aneth Msuya kasimulia mkasa mzima wa mauaji ya Kinyama ya mdogo wake
May 30 2016 kupitia Hekaheka ya Clouds FM Geah Habib ametuletea hii ya Dada wa bilionea Erasto Msuya, Aneth Msuya ambaye aliuawa kwa kuchinjwa nyumbani kwake jijini Dar es salaam. Kama…
VIDEO: ‘Kuna watoto bila kuchukuliwa na wabunge wangefanyiwa vitu vya ajabu’-Ester Bulaya
May 30 2016 Baadhi ya Wabunge kutoka vyama tofauti wamegoma kuendelea kushiriki vikao vya Bunge baada ya kutaka hoja ya kufukuzwa kwa wanafunzi wa Chuo Kikuu Dodoma (UDOM) waliotakiwa kuondoka…
VIDEO: Alichokiongea Mbunge Joshua Nassari baada ya Bunge kukataa kujadili wanafunzi kufukuzwa chuo
May 30 2016 Baadhi ya Wabunge kutoka vyama tofauti wamegoma kuendelea kushiriki vikao vya Bunge baada ya kutaka hoja ya kufukuzwa kwa wanafunzi wa Chuo Kikuu Dodoma (UDOM) waliotakiwa kuondoka…
VIDEO: Jk Comedian alivyokutana na Rais Mstaafu Jakaya Kikwete
May 29 2016 Rais msataafu wa awamu ya nne Jakaya Kikwete alialikwa na wahitimu wa Vyuo Vikuu Dar es salaam ambao ni wanachama wa chama cha Mapinduzi 'CCM' katika mahafali…
PICHA 8: Wabunge walivyoamriwa kutoka bungeni baada ya kufukuzwa kwa wanafunzi UDOM
Naibu Spika Tulia Ackson ameamuru Wabunge kutolewa nje ya bunge baada ya baadhi ya Wabunge hao kusimama kupinga kitendo cha bunge kakataa kujadili suala la Serikali kuwataka wanafunzi wa UDOM kurudi…
VIDEO: Shilole na Vanessa walipokutana kwenye Stage Club Billicanas
Wiki mbili zilizopita taarifa zilienea kuwa Vanessa Mdee na Shilole wana bifu, ukweli umejulikana usiku wa May 29 2016, kuwa haikuwa bifu bali ni promo ya show yao ya pamoja…
Waliofukuzwa Chuo Kikuu cha Dodoma waigeukia hii kazi
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter>>>@millardayo na Zote nakusogezea hapa chini. Moja ya story kubwa…
VIDEO: Waziri Ndalichako alikoroga, wimbi la mauaji lazua hofu nchini
AyoTV kila siku asubuhi itakua inakuletea uchambuzi wa magazeti ya Tanzania ambapo Alice Tupa ndio ataifanya hii kazi kuhakikisha unapata habari zote kutoka kwenye Magazeti ya Tanzania yenye hardnews, michezo na udaku vilevile… bonyeza…
PICHA 14: Shilole na Vanessa walipokutana kwenye Stage Usiku wa May 29 2016 Club Billcanas
Huenda wewe ulikuwa ni moja kati ya watu waliokuwa wameshtushwa na taarifazilizokuwa zimeenea wiki mbili zilizopita kuwa Vanessa Mdee na Shilole wana bifu, ukweli umejulikana usiku wa May 29 2016, kuwa…