VIDEO: Smartphone ya kwanza ya Robot Duniani imeanza kuuzwa leo, Check uwezo wake
Teknolojia inazidi kukua kwa kasi na uvumbuzi wa vifaa mbalimbali vya urahisishaji wa kazi vinatengenezwa, kwa mara ya kwanza duniani simu iliyotengenezwa kama roboti imeanza kuuzwa rasmi leo May 26…
PICHA 10: Rais Magufuli kafungua mkutano wa makandarasi na kuweka msisitizo kwenye hili
May 26 2016 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amefungua mkutano wa mashauriano wa bodi ya usajili wa wakandarasi kwa mwaka 2016 unaofanyika kwa siku mbili katika ukumbi wa Diamond…
VIDEO: Usikupite mgawanyo wa Trilion 1.3 zilizoombwa na Wizara ya Elimu
Headlines za Bungeni zimeendelea tena leo May 26 2016 ambapo Wizara ya Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi imewasilisha hotuba ya makadirio ya mapato na matumizi kwa mwaka wa fedha 2016/2017 kutitia…
Ndani ya siku 3 Longa nasi ya Takukuru imezikusanya taarifa kiasi hiki
May 23 2016 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu alizindua huduma ya longa nasi kata mnyororo wa rushwa ambayo imeanzishwa na Taasisi ya kupambana na…
TFF imetaja sababu za kutoandaa michuano ya CECAFA 2016
Shirikisho la soka Tanzania TFF leo May 26 2016 limetangaza maamuzi yake kuhusu zile habari zilizokuwa zinatarajiwa na wengi kuwa litaandaa michuano ya klabu Bingwa Afrika Mashariki na kati kwa…
VIDEO: Heri Muziki anasema yeye na Ben Pol wanatofauti zao katika kuimba
Msanii wa BongoFleva, Heri Muziki baada ya kufanya cover kama vile 'Dont jugde me' ya Chris Brown na 'All of me' ya John wa Legend na kufanya vizuri, nyimbo ya "Nakukumbukaga" ilimtambulisha rasmi na…
#AUDIO Binti aliokotwa miaka 6 iliyopita wakati wanatokea Singida na Bibi yake kuja Dar es salaam
May 26 2016 kupitia Hekaheka ya Clouds FM, Geah Habib ametuletea Hekaheka inayomhusu binti aliyelelewa kwa muda wa miaka 6 kwenye kituo ambacho huwa wanakaa na watoto wanaoishi katika mazingira magumu cha 'Jeshi…
VIDEO: Mbunge wa Karagwe bungeni na sababu za Wanaume kutooa Wanawake wazuri jimboni
Katika zile stori zimesambaa kwenye mitandao ya kijamii saa kadhaa zilizopita ni pamoja na hii ya mbunge wa Karagwe Innocent Bashungwa aliyesimama bungeni Dodoma kuchangia bajeti ya wizara ya maliasili na utalii,…
Jackline Wolper kahojiwa na Zamaradi na kuyaongea ya mapenzi yake na Harmonize
Ni kwenye Exclusive Interview ya TAKE ONE ya CloudsTV ambayo inasimamiwa na Zamaradi Mketema na ishu kubwa aliyoiongelea ni uhusiano wake wa kimapenzi uliopita na wa sasa ambao yuko na…
VIDEO: Kutana na Trafiki mwenye mbwembwe Dar, foleni haigandi akiwepo
Kama makazi yako ni Dar es salaam inawezekana umeshakutana nae askari huyu wa usalama barabarani, jina lake ni Ashraf Abas Shaban na maeneo yake ya kazi ni Bagamoyo Road, Sayansi…