VIDEO: Barabara iliyochukua pesa za sherehe za uhuru imekaribia kumalizika
Rais John Pombe magufuli december mwaka 2015 alibadilisha matumizi ya fedha ambayo yangetumika kuadhimisha siku ya uhuru na kuamua zijenge barabara kutoka moroco mpaka mwenge. Barabara imekamilika kwa asilimia 95…
PICHA 9: Reli ndefu zaidi duniani iliyojengwa chini ya ardhi kwa miaka 17 kuzinduliwa Uswisi
Uswisi imeingia kwenye headline ambapo Reli ndefu zaidi ambayo inapita chini ya ardhi imepangwa kufunguliwa wiki za hivi karibuni baada ya miaka 17 ya ujenzi, reli hiyo kwa mara ya kwanza…
PICHA 10: Yanga walivyopokea Kombe lao la pili kwa kuifunga Azam FC Taifa
May 25 2016 ndio siku iliyokuwa inasubiriwa kwa hamu na mashabiki wa soka la Bongo hususani kuangalia kama Azam FC na Yanga nani ataibuka Bingwa wa Kombe la FA baada…
VIDEO: ‘Tunapaza sauti ndugu zetu wanakufa lakini hakuna linalochukuliwa’-Profesa Jay
Naendelea kukusogezea Headlines za Bunge kila zinaponifikia, na leo May 25 2016 Bunge la 11 limeendelea kuijadili bajeti ya Wizara ya Maliasili na Utalii kwa siku ya pili mfululizo tangu…
VIDEO: Diamond Platnumz kafunguka kuhusu Mbunge aliyetaka sanamu yake
Msanii kutoka kiwanda cha bongofleva Diamond Platnmuz amekutana na Ayo TV na kufunguka kuhusiana na Headline za yeye kuchaguliwa kwenye tuzo za BET pia kuhusiana na kwanini wasanii wa Afrika…
Maamuzi ya kesi ya Chriss Brown kuhusu malezi mabovu ya mtoto wake ‘Royalty’
Kesi iliyokuwa inamkabili staa kutoka Marekani Chriss Brown juu ya malezi mabovu ya mtoto wake ambayo ilifunguliwa na mzazi mwenzake Nia Guzman, May 24 maamuzi yalitolewa na Mahakama ya Califonia. Mama mtoto…
Rais Magufuli kafanya uteuzi mwingine leo May 25 2016..
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt,. John Pombe Magufuli amemteua Waziri Mkuu Mstaafu Mh.Mizego Pinda kuwa Mkuu wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (OUT). Mheshimiwa Mizego Pinda anachukua…
VIDEO: Licha ya Wabunge kucheka lakini Mbunge Ally Kessy kaufikisha ujumbe kwa style yake
Bado tunaendelea kuzipata stori za Bungeni Dodoma, May 25 2016 Bunge limeendelea na kuijadili bajeti ya Wizara ya Maliasili na Utalii ambayo leo inafikia siku ya pili tangu ilipowasilishwa jana…
VIDEO: Isikupite hii ya maswali na majibu Bungeni leo, Yupo Profesa Jay, Halima Bulembo na wengine
May 25 2016 bado headline za Bunge zimeendelea kuchukua nafasi ambapo limeendelea kujadili bajeti ya Makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Maliasili na Utalii kwa mwaka wa fedha…
Nakukaribisha kuisikiliza hii single mpya ‘Natafuta kiki’ ya msanii kutoka WCB Raymond
Ni Mei 25 ambapo msanii kutoka kwenye label ya WCB, Raymond anazimiliki spika za radio mbalimbali baada ya kutambulisha rasmi single yake mpya iitwayo Natafuta Kiki ambayo imetayarishwa katika studio…