Vodacom Tanzania kugawa bilioni 25 bonasi kwa wateja wake
Wateja wapatao milioni 11 wa Vodacom Tanzania wanaotumia huduma ya M-Pesa kuanzia leo wataanza kupatiwa mgao wa bonasi kutoka kwenye fungu la shilingi bilioni 25 zilizohifadhiwa kwenye akaunti maalumu ya M-Pesa kwenye…
VIDEO: Wema Sepetu hatosahau kauli hii ya shabiki aliyeandika kwenye instagram
Inawezekana ukawa ni miongoni mwa watu wanaopenda kuandika ujumbe au chochote kwenye kurasa za mastaa wa kibongo huku ujumbe ukawa unawaumiza au ukapendwa kwa kile ulichokiandika, sasa staa wa Bongo…
Tuhuma za ushemeji wa Waziri Jenister Mhagama, Tanzanite One zamtia matatani Millya
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter >>>@millardayo. May 25 2016 tayari nimezikusanya na…
Magazeti ya Tanzania yameamka na hizi leo May 25, 2016 kwenye, Udaku, Hardnews na michezo
May 25 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye…
Baada ya Jackline Wolper kuwa na Harmonize, kataja jina analomuita Diamond kwa sasa
Kwa sasa headlines nyingi katika upande wa mastaa Tanzania ni stori kuhusu penzi la muigizaji Jackline Wolper na msanii wa Bongo fleva kutoka Wasafi Classic Baby (WCB) Harmonize ndio Topic…
VIDEO: Kitendo cha Askari kuua mifugo kimemsimamisha Mbunge Doto Bukombe na kuzitoa sentensi zake
Headlines za Bunge bado zinaendelea kuchukua nafasi ambapo leo May 24 2016 Wizara ya Malisili na Utalii iliwasilisha bunge makadirio ya mapato na matumizi kwa mwaka wa fedha 2016/2017. Bajeti…
VIDEO: Ukiachana na mabasi yaendayo haraka, China wametengeneza basi linalopita juu ya magari mengine
Kadri Teknolojia inavyozidi kukua kila siku katika upande wa usafirishaji ndivyo ufumbuzi wa baadhi ya changamoto zinavyozidi kupatiwa majibu, kama ilivyo kwa Tanzania ilivyoleta mabasi yaendayo haraka ili kuepuka foleni, ndivyo hivyo imetokea…
VIDEO: Azam FC wanacheza fainali vs Yanga May 25, limetajwa jina la staa wao aliyeshusha morali
Najua wewe unaweza kuwa moja kati ya mashabiki wa soka wanaosubiria kwa hamu kuangalia mchezo wa fainali ya kwanza ya Kombe la FA Tanzania, baada ya mashindano hayo kusimama kufanyika…
PICHA 4: Teknolojia inavyochukua headlines, nyumba kujengwa chini ya mwamba, Swimming pool juu yake
Teknolojia kila siku inazidi kuchukua headlines, nyumba kujengwa chini ya mwamba!!! halafu bwawa la kuogelea ndio linakuwa kama paa vile, stori kutoka kutoka CNN kuhusu nyumba hiyo ambayo itakuwa ya kwanza Duniani…
VIDEO: Mbunge kataka Wabunge wanaohusika na Ujangili wafungwe kifungo cha maisha jela
May 24 2016 Bunge la 11 limeendelea Dodoma, kazi ilikuwa ni Wizara ya Utalii na Maliasili kuwasilisha hotuba yake ya mapato na matumizi kwa mwaka wa fedha 2016/2017 ambayo imeomba…