Rais Magufuli kafanya uteuzi mwingine leo May 23 2016
May 23 2016 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania John Pombe Magufuli amefanya uteuzi wa viongozi wawili wa serikali, taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi leo…
Mambo matatu ya kufahamu kutoka Azam FC leo May 23 2016
Uongozi wa Azam FC leo May 23 2016 umeweka wazi mambo kadhaa kuhusu klabu hiyo, Azam FC kupitia kwa afisa mtendaji mkuu wa klabu hiyo Saad Kawemba aliweka wazi mambo…
Watu zaidi ya 10 wahofiwa kufariki ziwa nyasa
Taarifa ya awali iliyoripotiwa na kituo cha television cha ITV muda mfupi uliopita imeeleza kuwa watu zaidi ya 10 wanahofiwa kufariki dunia katika ziwa nyasa baada ya boti waliyokuwa wakisafiria kutoonekana kwa…
Maamuzi ya mwisho ya Man United kuhusu ajira ya Louis van Gaal yametangazwa leo May 23 2016
Baada ya headlines za muda mrefu kuhusu ajira ya kocha wa Man United Louis van Gaal kuripotiwa kuwa mashakani, huku uongozi wa Man United ukiwa umekaa kimya pasipo kukanusha au…
VIDEO: Vanessa Mdee alivyoiachia Nirogetour kwa watu wake Dodoma
Staa na mmiliki wa mdundo wa 'Niroge' Vanessa Mdee ameendelea kuzunguka katika mikoa mbalimbali kuiachia burudani kwa watu wake kupitia kampeni ya 'Nirogetour'. May 22 Vanessa alikuwa Dodoma ambapo hapa…
Maamuzi ya Mahakama Ilala kwa Jamaa waliotapeli maduka ya dawa na kujifanya madaktari
December 2014 Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya 'NHIF' ulifungua kesi katika mahakama ya Wilaya Ilala dhidi ya aliyekuwa mfanyakazi wa hospitali ya IMTU, Bakari Ramadhani na mwenzake Ahmed Mohamed. May…
VIDEO: Mose Iyobo na Aunty Ezekiel walivyoangusha birthday party ya mtoto wao
Mwigizaji Aunty Ezekiel ambaye yuko kwenye uhusiano wa kimapenzi na Baba mtoto wake aitwae Mose Iyobo ambaye ni dancer wa Diamond Platnumz, waliangusha party ya mtoto wao wa kwanza Dar…
Spika wa Bunge Kauweka wazi mpango huu ili kuwatambua walevi bungeni
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter >>>@millardayo. May 23 2016 tayari nimezikusanya na…
Magazeti ya Tanzania yameamka na hizi leo May 23, 2016 kwenye, Udaku, Hardnews na michezo
May 23 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye…
VIDEO: Nape Nnauye alivyoshuhudia Wema Sepetu kujiweka karibu na mashabiki zake
Mwigizaji Wema Sepetu May 22 2016 ametangaza mpango wake mpya wa kujiweka karibu na mashabiki zake kupitia teknolojia ya APP na SMS ambapo Waziri wa michezo Nape Nnauye alihudhuria na…