PICHAZ 17: Kutoka katika fainali za kumtafuta Miss Dar City Center 2016
Usiku wa May 21 2016 fainali ya kumtafuta mrembo wa Miss Dar City Center kwa mwaka 2016 zilifanyika katika ukumbi wa Millenium Tower Kijitonyama, huenda wewe ukawa ni moja kati…
VIDEO: Kauli ya Van Gaal iliyodhihirisha anaondoka Man United wakati akitoka katika hotel ya timu
Kuna uwezekano mkubwa sana ndani ya wiki hii uongozi wa Man United uliyokuwa umekaa kimya kwa muda mrefu, ukatoa taarifa rasmi kuhusu hatma ya kocha wao Louis van Gaal, kwani…
Ni kweli viongozi wa serikali hawatapokelewa kwenye msiba wa Kabwe? ukweli upo hapa
Familia ya aliyekuwa mkurugenzi wa jiji la Dar es Salaam Wilson Kabwe leo May 22 2016 imeamua kutoa tamko au taarifa rasmi kwa vyombo vya habari kuwa, habari zilizosambaa katika…
VIDEO: Skills za Ronaldinho ambazo haziwezi kusahaulika katika soka
Ronaldinho ni moja kati ya wachezaji wa Brazil waliowahi kutamba katika soka la Ulaya kwa muda mrefu, kiasi hata cha kufanikiwa kutwaa tuzo ya mwanasoka bora wa Dunia, Ronaldinho amefanya…
Kilichomuua aliyekuwa Mkurugenzi wa jiji la Dar es salaam, Wilson Kabwe chatajwa
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter >>>@millardayo. Tayari nimezikusanya na waweza kuzipitia hapa…
Magazeti ya Tanzania yameamka na hizi leo May 22, 2016 kwenye, Hardnews na michezo
May 22 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye…
Kauli ya Louis van Gaal baada ya Ubingwa wa Kombe la FA kwa Man United
Baada ya kufanikiwa kutwaa Kombe la FA akiwa na Man United, Louis van Gaal amezungumza kauli ya kujivunia, licha ya kuwa kibarua chake kipo mashakani kuchukuliwa na Jose Mourinho kwa siku za…
Vichwa 11 vya Habari kubwa kwenye TV za Tanzania May 21 2016
Kama utakua ni mpenzi wa kutazama taarifa ya habari na hukupata time ya kutazama taarifa ya Habari ya May 21 2016 kupitia TV za Tanzania usijali millardayo.com inakupatia fursa ya kutazama vichwa 10 vya…
Man United wamefanikiwa kutwaa taji la FA na kuifikia rekodi hii ya Arsenal
Baada ya kumalizika kwa Ligi Kuu Uingereza msimu wa 2015/2016, mashabiki wa soka Uingereza walikuwa wanasubiri mchezo wa fainali ya Kombe la FA ambao umechezwa leo May 21 2061 katika…
PICHA & VIDEO: India wameifikia hii rekodi kwenye masuala ya hali ya hewa
Nchi ya India ni moja ya nchi katika bara la Asia ambapo wiki hii wamezichukua headline kwa kuvunja rekodi ya kuwa na joto kali zaidi ambalo limefikia hadi sentigredi 51 huko…