VIDEO: Dakika 5 za Mbunge anayesema hataki ishu za Viwanja vya ndege
Bunge la 11 limeendelea Dodoma, May 17 2016 ilikuwa ni zamu ya Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano kuwasilisha hotuba yake pamoja na kuomba kupitishiwa bajeti yake ijayo. Kazi iliyofanywa na…
VIDEO: Wewe ni Bingwa wa kupiga Selfie? mtazame huyu alivyoweka rekodi yake
Kijana Hugo Cornellier raia wa Canada ameingia kwenye headlines baada ya kugundulika kuwa amekuwa na desturi ya kujipiga picha (selfie) kwa muda wa miaka nane na nusu mfululizo tangu akiwa na miaka 12…
VideoMPYA: Kutokea 254, Alicios Theluji na Kidum wanatualika kuitazama ‘Pete’
Mrembo mwenye asili ya Kongo lakini makazi yake ni Kenya Alicious Theluji leo May 18 2016 anatualika kuitazama video yake mpya 'Pete' ambayo amemshirikisha Kidum, Mtu wangu usisahau kuniachia comment…
Instagram: Aliyoyaandika Vannesa Mdee baada ya post mbili za Shilole kwenye mtandao wa Instagram
Headline zinachukuliwa na Warembo kutoka Kiwanda cha Bongoflevani na hii ni baada ya May 17 2016 Shilole kupost picha kwenye Account yake Instagram ambayo wengi wametafsiri ni dongo kwa msanii…
Top 10 news kutoka kwenye Magazeti ya Tanzania leo May 18 2016
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter >>>@millardayo. Tayari nimezikusanya na waweza kuzipitia hapa…
AUDIO: Ikitokea Mkwasa akamuita Cannavaro Taifa Stars, mwenyewe ana maamuzi haya
Baada ya headlines za muda mrefu kuhusu aliyekuwa nahodha wa timu ya taifa ya Tanzania Nadir Haroub Cannavaro kutangaza kustaafu kuchezea timu ya taifa ya Tanzania kutokana na kuvuliwa unahodha…
Magazeti ya Tanzania yameamka na hizi leo May 18, 2016 kwenye, Hardnews na michezo
May 18 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Udaku, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye…
Hispania imetangaza kikosi kitakachoshiriki EURO 2016, list ya mastaa walioachwa
Bado zimebaki siku kadhaa kabla ya michuano ya mataifa ya Ulaya (EURO 2016) kuanza kuchezwa michuano ambayo hufanyika kila baada ya miaka 4, kwa mwaka 2016 michuano hiyo inatarajiwa kufanyika…
VIDEO: Sky Sports News wameripoti Man United kuwa na maamuzi haya kuhusu Jose Mourinho
Bado jina la kocha wa zamani wa klabu ya Chelsea Jose Mourinho limekuwa likitajwa kwa ukaribu katika mbio za kuwania nafasi ya kocha wa sasa wa Man United Louis van…
Staa wa NBA ana maamuzi mapya baada ya kuwaita nyani Golden State Warriors
Mchezaji wa kikapu Marekani (NBA) Steven Adams wa timu ya Okhlohamio City ameomba radhi baada ya kuwaita 'nyani wadogo' wachezaji wa timu pinzani ya Golden State Warriors waliowafunga bao 108-102. Adams aliyasema maneno…