List ya watuhumiwa wa tukio la kushambulia basi la Man United inazidi kuongezeka
Baada ya kutokea kwa tukio la basi lenye kikosi cha Man United kushambuliwa May 10 2016 kabla ya mchezo dhidi ya West Ham United, mchezo ambao ulichezwa katika uwanja wa Boleyn basi la…
Siku 50 toka uharibifu wa kituo cha mabasi ya haraka kutokea, gharama za ukarabati zimetajwa
Ikiwa zimepita siku 50 toka itokee ajali ya basi la Princes Muro lenye namba za usajili T 551 BQP March 25 Kimara Baruti ambapo basi lilivamia kituo kipya cha mabasi yaendayo haraka, May…
Rais Magufuli ataja mali zake, Zitto, Mdee, Heche washtakiwa kwa fujo
AyoTV kila siku asubuhi itakua inakuletea uchambuzi wa magazeti ya Tanzania ambapo Alice Tupa ndio ataifanya hii kazi kuhakikisha unapata habari zote kutoka kwenye Magazeti ya Tanzania yenye hardnews, michezo na udaku vilevile… bonyeza…
Habari 10 kubwa kutoka kwenye magazeti ya Tanzania May 14 2016
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter >>>@millardayo. Tayari nimezikusanya na waweza kuzipitia hapa…
Magazeti ya Tanzania yameamka na hizi leo May 14, 2016 kwenye, Hardnews na michezo
May 14 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Udaku, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye…
PICHA 15:Idris Sultan,Chipukeezy, Captain Khalid, Dogo Pepe walivyovunja mbavu watu kwenye Funny Fellas
Ni Mei 13, 2016 ambapo Mshindi wa BBA 2014 & Mchekeshaji, Idris Sultan aliungana na wakali wa kuchekesha kwenye show iliyopewa jina la Funny Fellas ambayo ilifanyika katika ukumbi wa…
VIDEO: Mastaa wa Bongo walivyotokea Bungeni leo, Wema Sepetu, JB, Masanja, Lilian na wengine
Baada ya jana Diamond Platnumz na Mafikizolo kukaribishwa Bungeni, leo May 13 2016 Mastaa wengine wa Bongo wakiwemo Wema Sepetu, Masanja Mkandamizaji, Jacob Stephen (JB), Single Mtambalike, Miss Tanzania 2014…
VIDEO: Kama unawaza kwenda Dubai hivi ni vitu 11 ambavyo hutakiwi kuvifanya ukiwa Dubai
Dubai ni moja ya miji ambayo kwa sasa watanzania wengi wanaenda kwa ajili ya kufanya biashara mbalimbali, sasa mtu wangu nimekutana na hivi vitu kumi na moja ambavyo hutakiwi kuvifanya…
FIFA imetangaza katibu mkuu wa kwanza mwanamke leo May 13 2016
Shirikisho la soka Ulimwenguni FIFA leo May 13 2016 limetangaza kwa mara ya kwanza katibu mkuu mwanamke katika historia ya shirikisho hilo, FIFA imemtangaza Fatma Samba Diouf Samoura kutoka Senegal kuwa…
Picha10: Mazishi ya miili ya watu watano waliokatwa mapanga Sengerema Mwanza
Usiku wa kuamkia May 11, 2016 kuna taarifa ya kusikitisha kutokea Sengerema Mwanza, ni tukio la mauaji ya kukatwa mapanga familia ya watu saba ambao ni ndugu wa familia moja,…