VideoFUPI: Rais Magufuli yuko nje ya nchi, ikiwa ni safari yake ya pili tangu aingie madarakani
April 2 2016 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jonh Magufuli alifanya safari yake ya kwanza nchini Rwanda tangu aingie madarakani. Leo May 11 2016 Rais Magufuli ameingia tena…
RC Makonda aendeleza oparesheni ya kukamata Sukari, haya ndio yaliyojitokeza leo
May 10 2016 Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda pamoja na mkuu wa wilaya Kinondoni Ally Hapi kukamata mifuko ya sukari ambayo ilikuwa imefichwa kwenye jengo na mmiliki…
Wizara ya Afya imewasilisha bajeti yake ya Bilioni 845
Mei 11 2016 Bunge la 11 limeendelea Dodoma, Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imewasilisha hotuba ya makadirio ya mapato na matumizi ya fedha kwa mwaka…
Magazeti ya Tanzania yameamka na hizi leo May 11, 2016 kwenye, Hardnews na michezo
May 11 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Udaku, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye…
VIDEO: ‘Bilioni 59 za Wanajeshi wetu zimekwenda wapi? nataka leo ujibu’- Halima Mdee kamuuliza Waziri
Mei 10 2016 Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa imewasilisha hotuba yake ya mapitio ya makadirio ya mapato na matumizi ya fedha kwa mwaka 2016/2017 ambayo imesomwa na Waziri…
VIDEO: Magoli ya mechi ya Mbeya City vs Yanga May 10 2016, Full Time 0-2
Jumanne ya May 10 2016 klabu ya Mbeya City ilikuwa mwenyeji wa Mabingwa wa Ligi Kuu soka Tanzania bara klabu ya Dar es Salaam Young Africans katika uwanja wa Sokoine Mbeya,…
Bidii kwenye kazi ! Bongofleva imempa Baraka Da Prince Lexus
Baraka Da Prince ni miongoni mwa wasanii wa kiume wa bongofleva ambao nyimbo zao zinachezwa sana kwenye Radio ambapo kwa sasa yuko mpaka kwenye Top10 na Top20 kupitia hit single…
Mafikizolo wameingia Dar es salaam usiku huu.. nimeinasa hii ya Airport
Kundi maarufu la muziki kutokea Afrika Kusini Mafikizolo limewasili Dar es salaam Tanzania kwa ajili ya kujitangaza zaidi na kolabo yao waliyomshirikisha Diamond Platnumz 'colours of Africa' pamoja na kutumbuiza…
PICHA 10: Mbunge wa Dodoma Mjini aliposhtukiza kambi tiba ya GSM mkoani hapo leo May 10 2016
Mbunge wa Dodoma Mjini na Naibu Waziri wa Kazi, Vijana na Ajira, Mhe. Antony Mavunde leo amefanya ziara ya kushtukiza katika kambi tiba ya GSM Foundation inayofanywa na kikosi cha Madaktari bingwa kutoka hospitali…
Kama unapazimia Paris check hii ya Tecno wanaweza kukupeleka
Paris ni mji maarufu duniani ukiwa na vivutio mbalimbali na umeshika nafasi ya pili kati ya miji inayovutia zaidi Duniani, good news ni kwamba time hii Tecno Mobile wametoa nafasi kwa watumiaji…